Ugonile,.
Mimi ni muumini mzuri tu wa dini ya kikristo (msabato) ninae amini katika uwepo wa Mungu, shetani na evil spirits zote pamoja na uchawi kuwa vina exist.
Jana nilikua napiga stori na jamaa mmoja uku nchi za watu (yeye ni Mnorway) kwenye izo soga tukajikuta tumeibukia kwenye mambo ya...