CRDB YAFUNGUA TAWI LAKE MUSOMA VIJIJINI
Mgeni Rasmi:
Ndugu Gerald Musabila Kusaya
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara
Mahali:
Kijijini Kwibara, Kata ya Mugango
Leo, Alhamisi, 19.12.2024 Benki ya CRDB imefungua Tawi lake Kijijini Kwibara, Kata ya Mugango.
Mgeni Rasmi alikuwa Ndugu Gerald Musabila...