Kuna uhusiano gani kati ya usiku na kuzidi kwa maumivu?
Mfano mama mjamzito uchungu huchachamaa zaidi wakati wa usiku. Hivyo hivyo jino huuma zaidi wakati wa usiku.
Hata homa hushika mwili hasa nyakati za usiku kunani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.