Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?
Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.
CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .
Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.