vipaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    SoC01 Serikali iwekeze katika vipaji vya Watanzania ili kukuza uchumi wa taifa

    UTANGULIZI Ni ukweli usiopingika kwamba, Watanzania wengi wamebarikiwa kuwa na vipaji mbalimbali. Mfano, Utengenezaji wa bidhaa, ubunifu wa vyombo vya kielektroniki, uchoraji, uchongaji, matumizi ya compyuta, uimbaji nk. Licha ya Tanzania kuwa na vijana wengi wenye vipaji, bado kumekuwa na...
  2. R

    Una kipaji chochote ambacho hakijajulikana vema na kukupa faida?

    Habari, Kama wewe msomaji wa uzi huu au mtu unayemfahamu ana kipaji chochote ambacho hakijajulikana vema na kumsaidia kimaisha tafadhali tuwasiliane kwa Whatsapp namba 0676434611. Kipaji chochote ambacho kinaweza kuendelezwa mfano ubunifu wa vifaa, uchekeshaji (comedy), vipaji vya michezo...
  3. Kibosho1

    Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

    Hawa ni moja ya watu waliotumia akili na maarifa kugundua vitu: 1. Isaack Newton 2. Albert Einstein 3. Stive Jobs 4. Eric Yuan 5. Sergey Brin na Larry Page Hawa ni moja ya waafrika (black) waliovunja rekodi za dunia kwa vipaji vyao. 1. Edison Arantes do Nascimento[Pele] kwenye (mchawi wa...
  4. namraroh

    Shule za akademia na kudumaza kwa vipaji vya watoto wetu

    Habari za mchana wanabodi, hongera kwa waliofanikiwa kufunga mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan mpaka siku ya leo, hakika mola yupo nanyi! Baada ya salamu hiyo napenda kutoa maoni yangu machache kuhusu hizi shule zetu zinazoibuka kila siku kwa jina english medium, kwa kweli napenda kukiri...
  5. Lameckjr

    Mbivu na mbichi kuhusu vipaji Recruitment

    Wadau habari zenu!! Kutokana na changamoto ya ajira nchini kwetu kumekuwa na wimbi kubwa la watu au mashirika yanajiita jobs recruiters!! Hoja yangu naomba kuuliza humu kama kuna mtu ameshaajiriwa kupitia jobs recruiters wanaoitwa Vipaji link!! Asante
  6. Sky Eclat

    Vipaji vingine ni vya kuzaliwa navyo

    Walimu shuleni wanapata tabu kumbe matatizo yalianzia mbali.
  7. FAJES

    BEITO: Tunahitaji vijana wenye vipaji vya; Kusuka, Kupaka kucha rangi, Kufanya make-up na Kunyoa mitindo mbalimbali

    TANGAZO LA KAZI TAREHE 23, DISEMBA 2020. BEITO IINTERNATIONAL COMPANY LTD, tunajihusisha na shughuli za usafi na urembo. Ofisi zetu zipo Dar es Salaam, Wilaya ya Kinondoni, Mwenge, ITV. Tunatangaza nadfasi za kazi kwa vijana wa kike na kiume wenye vipaji na ujuzi wa kutoa huduma zifuatazo...
  8. Infantry Soldier

    Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimejaa Afrika na hatufanyi maajabu?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimeja sana Afrika na hatufanyi maajabu? Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanaume ya...
  9. TheDreamer Thebeliever

    Je, tuendelee kutilia mkazo watoto wetu kusoma masomo ya sayansi au tukomae na kukuza vipaji?

    Habari wadau! Baada ya kimya kirefu leo vidole vimeniwasha nimeamua kuandika thread . Nauliza tu je kuna ulazima kuwasisitiza watoto wetu kukomaa na masomo ya sayansi ambayo ki uhalisia yanaonekana kuwashinda wengi au tukomae na kuakikisha tunagundua vipaji vya watoto wetu ASAP(As Soon As...
  10. Jo Assistant

    Wewe una kipaji/vipaji gani?

    WEWE UNA KIPAJI/ VIPAJI GANI? Habari wadau. Kuna mtu mmoja niliwahi kumsikia akieleza kuhusu aina 7 za vipaji. Sikufuatilia sana lakini naamini kuwa kipaji kinaweza kukusaidia kutimiza kusudi la kuwepo kwako hapa ulimwenguni. Aina 7 za vipaji: 1) Ubunifu 2) Muziki 3) Hesabu 4) Picha 5) Lugha...
Back
Top Bottom