vipi

Virtual Portal for Impaired Groups Interaction (ViPi) is a project partially funded by the European Union (EU) under the Lifelong Learning Programme 2007–2013, subprogramme KA3 ICT. The project commenced on 1 January 2011 and has 36 months duration (until 31 December 2013). The main vision of the project is to provide alternative and creative solutions for the employment of People with Disabilities (PwD) by delivering a "one-stop-shop" interactive portal and learning environment comprising: 1) a multilingual platform, 2) an embedded social community, 3) accessible content (WCAG 2.0) for PwD and trainers, etc. The project will bring together key stakeholders and gatekeepers (VET, target groups, umbrella organizations) in order to address the lack of specific training support or material for PwD and their trainers by providing a set of applications and services that will be available via a complete educational framework, taking into account interaction possibilities offered by web 2.0 and localised, tested and assessed with different end-user communities (GR, BE, LT, UK and CY).

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Wabunge wa Uganda wanataka Kuamua Mashoga Wafungwe Maisha au Wanyongwe kabisa, nasubiria kusikia Wabunge wa Tanzania nao Wataamua vipi

    Ombi langu kama Wabunge wa Tanzania nao wakiamua kama Wenzao wa Uganda ikitokea wenye Jukumu la Kunyonga Mashoga wakikosekana wasisite Kuwasiliana nami kwani naweza kutoa Kwao Ushirikiano Uliotukuka hadi Serikali ya Tanzania ikafikiria Kuniajiri moja kwa moja kuwa Msaidizi wa Israeli Msitisha...
  2. K

    Korogwe vipi suala la maji?

    Ni siku ya 18 Sasa maji hayatoki kabisa hapa Korogwe! Lakini ukiangalia kwa karibu Kuna mto uko hapa ambao haukauki lakini Maji ni mtihani! CCM oyee
  3. Nyenyere

    Ukahaba uliokithiri vyuo vya elimu ya juu

    Wakuu, maadam suala la ukahaba kwenye vyuo vikuu hapa nchini haipingiki, naomba tujadili leo sababu hasa ya hali kuwa hivyo. Je, ni kupenda maisha ya starehe pekee au kuna sababu nyuma ya pazia?
  4. Mr. Purpose

    Mpaka sasa mitandao ya kijamii imekusaidiaje katika harakati za kupambana na umasikini?

    Mkuu kwema? Pole na uchovu wa safari ya kuperuzi JF. Boss, ebu tuongee kidogo kuhusu hii mitandao ya kijamii mpaka leo imekusaidia chochote ? Au unaonaga mauzauza tu 😅? Graduate uliyehitimu chuo na hauna Ajira, vipi hii mitandao ya kijamii unaichukuliaje? Ni sehemu ya kupotezea muda na...
  5. The Eric

    Je, wewe unapangilia vipi chumba chako cha kulala?

    Halo JF nipo jukwaa hili. Hivi chumbani unapolala huwa una vitu gani na gani? Vipi mpangilio wako wa vitu. Huwa unakumbuka kupangilia au ndiyo mambo mengi siku moja moja unadeki 😅😅😅 ninacheka maana wanaume wengi wachafu sana yaani chumba cha kulala kama danguro la wahindi, au karakana za...
  6. Dennis_Ritchie

    Vipi nikikwambia unaweza ukatengeneza logo bila kutumia experience yoyote?

    Leo nitakuelekeza jinsi ya kutengeneza logo ya kampuni yako haya ya mtu bila kutumia ujuzi wowote! fuatilia: Unahitaji kuwa na internet connection na smartphone au laptop. 1. Tutamia tool inaitwa chat gpt katika kutengeneza prompts. Kama huna account create hapa...
  7. G

    Toyota Alpha niongeze vifaa vipi ili isiwe inatikisika ikipaki.

    Hello wanajukwaa. Nina Toyota Alpha huwa natoka nayo mara kadhaa niki Huwa ni my choice hasa pale napoenda sehemu na watoto ila huwa wanapenda kuruka ruka hasa pale nikiwa nimepaki kwenye foleni, kwenda kuwanunulia juice dukani, n.k. Hali ya kuruka ruka kwao inaleta mgandamizo na kuifanya...
  8. Jokia

    Msaada Tafadhari: Tablet imezima ghafla, niiwashe vipi?

    Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema, tablet yangu imezima ghafla tu haiwaki tena. Ni mpya kabisa imetumika kama wiki 2 tu. Ilizima yenyewe ikiwa katika matumizi ya kawaida na ilikua na chaji ya kutosha. Nimejaribu kuiwasha mara kadhaa lakini imeshindikana kabisa kuwaka. Je...
  9. Triple G

    Hawa Tik Tok Vipi tena!

    Nimedownload tik tok juzi kati sasa kila video inayokuja wanawake wana misambwanda balaa wanacheza hata nisipofungua leo nikifungua kesho wanaleta video zile zile...mpaka nataka ku uninstall..
  10. U

    Panya road katika matukio yao ni lazima wajeruhi kila mtu?

    Kwanza kabisa lazima tukubaliane kimsingi kuwa panya road ni school drop out hasa shule ya msingi na secondary, lakini wengi pia ni wale waliolelewa Kwa style ya single mothers hii nimeongea sio kukejeli lakini ni kutokana na mahojiano waliyofanya wenzao kituo Cha polisi. Jana Tarehe 11.02.23...
  11. R

    Hotuba na mijadala anayofanya Tundu Lissu inamzuia vipi Rais na Serikali kufanya kazi za umma? Je, CCM imejipanga kufanya siasa na maendeleo?

    Najiuliza wapinzani wakifanya mikutano ya adhara Serikali inaathirika vipi Hadi isshindwe kufanya maendeleo? Naona Tundu Lisu anazunguka, Je, Mhe Samia na serikali yake wamezuiwa kufanya KAZI.? Naombeni logic ya kufanya mikutano ya kisiasa na kuchelewa Kwa maendeleo; mbona sioni logic? Hapo...
  12. Gulio Tanzania

    Utaratibu wa kulipwa fidia ya ardhi na Serikali upo vipi?

    Nimerudi nyumbani Iringa kusalimia mwezi uliopita sasa kuna ndugu yangu alinunuaga shamba maeneo ya Tagamenda Iringa Mjini miaka mitatu iliyopita muda mfupi Serikali walilihitaji hilo eneo kwaajili yakufunga mitambo ya kufua umeme wananchi walijenga eneo hilo na kununua mashamba walihaidiwa...
  13. Mageuzi92

    Naombeni msaada wa maduka yanayotoa pikipiki za mkopo na vigezo vyao ni vipi?

    Hello jamaa zangu, Tumaini langu mnaendelea vizuri. Nahitaji kupata pikipiki Kwa ajiri ya biashara ila pesa yangu ni kidogo sana. Ningependa kujua kama Kuna wadau wanayajua makampuni yanayokopesha pikipiki na masharti yao ni yapi?
  14. Replica

    Utajiri wa matajiri wanne Kenya unazidi Wakenya milioni 22 wakiunganishwa kwa pamoja. Tanzania vipi?

    Oxfam imesema matajiri wanne nchini Kenya, utajiri wao unazidi karibu nusu ya wakenya wote(40%) wakichanganywa kwa pamoja. Matajiri hao wana utajiri unaofikia Ksh. bilioni 333( Tsh. trilioni 6.26). Utafiti unaonesha ukuaji wa tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ambapo wakenya 130...
  15. Pascal Mayalla

    Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?

    Kwa Maslahi ya Taifa Nipashe ya Jumapili ya 15 January 2023 ni swali "hivi kweli sisi Tanzania tuna wanasheria wa ukweli au tuna wasomi tuu wa sheria, waliosomea sheria na kuhitimu?. Kama ni kweli tuna wanasheria, jee wanasheria waliopo ni wapo kweli au ni wapo wapo tuu?!. Kama kweli Tanzania...
  16. T

    Mzee Jakaya Kikwete nakusalimia. Je, hapo vipi?

    Leo namsalimi Mzee Kikwete baba wa Democrasia alie kubali yote ukimuona dhaifu poa ukimuona fisadi poa Yani mambo poa. Ukimsema jukwaani anatafuta jukwaa na yeye anakuwa za uso🤭 Leo namuuliza Mzee wangu mambo vipi? Kama nakuona kila ukiangalia taarifa ya Habari na mitandao unaona kama huwelewi...
  17. IamBrianLeeSnr

    Njia ipi ni sahihi kufikia uwepo wa Mungu na vipi unaweza kujifunza utukufu wake duniani

    Hivi kwanini bado Africa tupogizani kiasi hiki? 1: Mzungu katuletea dini 2: Mzungu katuletea mavazi 3: Mzungu katuletea utandawazi 4: Mzungu katuletea njia za mawasiliano 5: Mzungu katuletea taharuki mbalimbali na mafunzo juu ya mahusiano 6: Mzungu huyo bado anatumaliza kwa magonjwa ya...
  18. Faana

    Safari za ndege za masafa marefu zinaweza kuathiri vipi mwili wako?

    Qantas imetangaza kuwa itazindua safari za ndege za moja kwa moja kutoka pwani ya mashariki ya Australia hadi London, Uingereza kutoka mwisho wa 2025, na muda wa ndege wa zaidi ya saa 19. Kwa kulinganisha, ndege za sasa huchukua saa 24, lakini kwa kuunganisha ndege, imegawanywa katika safari...
  19. Intelligent businessman

    Huwa unajihisi vipi ukikutana na mtu aliyewahi kukudharau kwenye maisha yako?

    Salaam wakuu, kuna nyakati binadamu tunapitia mengi katika Safari yetu ya maisha ya kila siku. Ziwe nyakati nzuri au mbaya, basi kuna funzo muhimu huwa tunalipata katika maisha yetu. Je, huwa unajisikiaje ukikutana na mtu ambae aliwahi kukudharau au kukuchulia poa katika maisha yako na...
  20. NetMaster

    Malegendi mnadili vipi na wanawake wanaowapa taarifa wapo siku zao baada ya kula ofa zenu

    Hii hali mnadeal nayo vipi malegendi. Kashakula, kashakunywa, shopping, n.k. lakini umeomba game ndio anakupa taarifa kwamba yupo siku zake... Mbaya zaidi time frame mliyonayo ni siku hizo ambazo atakua kwenye siku zake, hadi azimalize ni yeye au wewe utakuwa umeondoka,
Back
Top Bottom