Israel announces Coronavirus breakthrough. Doctors in Israel home of medical research just announced to the authority 3 hrs ago that they have come to a breakthrough solution with vaccine for corona virus. They did it in the laboratory Via the wisdom of God. not just with prayers alone. Shalom...
Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini.
Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao.
Hii hali...
Cases of the virus, which originated in the Chinese city of Wuhan, have been reported around the world.
New cases of infection from a new coronavirus that emerged in the central Chinese city of Wuhan late last year are being reported daily around the world.
More than 2,800 people have...
Serikali ya Kenya, japo imesimamisha ndege zake za KQ kwenda China, imekuwa ikiruhusu abiria kutoka China kungia nchini humo bila kuwa na tahadhari zozote zaidi ya kuwapima joto wanapowasili uwanja wa Jomo Kenyatta au kuwadhibiti katika kile kipindi cha siku 14.
Hii imezua taharuki kwa...
Naibu Waziri Iraj Harirchi ambaye amekuwa mstari wa mbele nchini humo katika kupambana na #coronavirus amegundulika kuambukizwa virusi hiyo
Msemaji wa Wizara hiyo amethibitisha hayo alipokuwa anafanya mahojiano na chaneli ya runinga ya Taifa na kusema Naibu Waziri huyo amewekwa sehemu maalumu...
At Last Dawa ya kwanza kutibu Corona virus imegundulika na inaingia sokoni
The Chinese authorities announced on Sunday the production of the first drug that may be effective in combating the new “Corona” virus.
“The medicine is known as” Favipiravir or Avigan, “said Taizhou City...
The Wuhan coronavirus has reportedly spread to North Korea. Experts say the country isn't equipped to fight it
By Business Insider,
Though the country has further isolated itself from the rest of the world, its lack of medical supplies and "crumbling" healthcare system isn't equipped to handle...
Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mafua makali unaosababishwa na kirusi aina ya Corona, uliozikumba nchi za China, Thailand, Japan, Korea Kusini na Marekani.
Wizara imesema kuanzia Desemba mwanzo mwaka jana wamekuwa...
Inasemekana Marekani ameifanyia China umafia kwa kupandikiza virusi vya CORONA ili kushusha uchumi wake.
Ukumbuke migogoro ya kibiashara kati ya USA na CHINA inazidi kushusha uchumi wa China kwa kasi ya ajabu.
FRANKFURT- German drug maker Bayer has contained a cyber attack it believes was hatched in China, the company said, highlighting the risk of data theft and disruption faced by big business.
Bayer found the infectious software on its computer networks early last year, covertly monitored and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.