Ona Watoto wanavyohuawa huko Gaza na Jeshi la Israel eti wanashambulia Hamas.
Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amewekewa vikwazo chungu nzima kutoka kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo...
Niaje waungwana
Baada ya wazungu kufanikiwa kuwaweka watu wao pale mashariki ya kati (Palestina + Israel), Plan ya pili ilikuwa ni kuwasaidia watu hao kujitanua kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine kidogo kidogo, mpaka pale watapojikuta wamefanikiwa kujenga empire na kuzifikia zile nchi zenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.