vitambi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Flano

    Siku hizi nimeanza kuvutiwa na wadada wenye vitambi

    Zamani wanawake wenye vitambi nlikua sina hata mzuka nao, nikishakuona mbele umevimbavimba tu unakua tayari umeshanikata stimu, sijisumbui hata kuomba namba ila sasa hivi upepo umenigeukia. Yaani akipita mtu mwenye kitumbo chake nasikia mwili wote unasisimka, nilikuja kugundua nakosa mambo...
  2. KENZY

    Kwanini wengine wawe na vitambi au wanene nawakati tunakulanao aina moja ya chakula?

    Hii hoja naileta kwenu kwa wataalum wa afya ili mpate kutuletea majibu stahiki,kwani asilimia kubwa ya watu tunaokaanao tunafanana lifestyle ya chakula, lakini utakuta mtu anahangaika na kupunguza unene ama kitambi na wakati huohuo kuna mtu anakaanae na kwa asilimia kubwa wanashare kinachutua...
  3. C

    Uzi wa kupeana mbinu za kuondoa vitambi na kutengeneza mwili - Karibuni tupeane maarifa

    Wanajamvi, natumaini ni siku nyingine njema kwa kila mtu ambayo Mungu ameifanya. Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kuondoa vitambi, kutengeneza mwonekano bora wa mwili na kuimarisha afya. Naomba yeyote mwenye weledi katika haya achangie hapa ili kuwasaidia watu wanaohanganika na matatizo haya...
  4. kavulata

    Vitambi kwa viongozi wa mpira sio uanamichezo.

    Itatia shaka na kichefuchefu kumuona kiongozi wa mpira ana tumbo kubwa linaloning'ia. Kiongozi wa hivi anakatisha tamaa na kuwatia uvivu wachezaji. Kiongozi wa hivi anatia mashaka juu ya umakini wake kwenye tasinia ya michezo. Kifupi hafai kuwa kiongozi wa timu wala chama cha michezo, maana...
  5. N

    Hivi hakuna njia nyingine ya kupunguza Vitambi/Mafuta mwilini?

    Wataalam Nimekuwa nikijiuliza hivi imeshindikana kweli kufanya surgery ya kuondoa mafuta toka kwenye tumbo? Mi naona jinsi yalivyojirundika sehemu moja tumboni kama mnavyotuaminisha kupitia michoro yenu nk ni kazi rahisi zaidi kama imewezekana kuzalisha mwanamke kwa kisu? Badala ya sijui...
  6. I

    Askari wa Tanzania wanalea vitambi

    Mafuta ya ziada yanayozunguka maeneo ya kiunoni mpaka tumboni ni hatari kwa afya, haya mafuta husambaa mpaka kwenye kuta za moyo na kuleta madhara kwenye mishipa inayosafirisha damu kwenye moyo. Kimaadili askari hupewa masaa nane kwa wiki kwaajili ya mazoezi ya viungo. Hata ukitembea tu kwa...
  7. Morg

    Asanteni kwa kutupokea wanawake, vitambi sio kwa wanaume pekee...

    Kwa sasa vitambi sio kwa wanaume pekee bali hata hawa jinsia ya upande wa pili nao wametupokea tena kwa kasi nguvu na shauku na wanakuja kwa kasi sana nowdays. Kulikuwepo na fedheha nyingi toka kwa wanaume wenye vitambi walidhihakiwa kwa maneno ya kejeli iliwasononesha sana Zama za nyuma. Ili...
  8. holygrail

    Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

    Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje, wanakeraaaa. Unakuta dada mzuri ajabu, shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh, kuja mbele sasa, chevuuuu, tumbo hilo! Uzuri wote chalii! Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho, mnakula sana kuliko hata midume, machips mayai, manyama choma, mabia...
Back
Top Bottom