2 Esdras 12:22-32,
three heads that are asleep represent three kings who will rule the world in the last days of the empire.
These kings will restore much of the empire, but rule with more harshness than any before them.
Kwema wakuu?
Kama ambavyo wengine tumeifanya jf kuwa google na chatgpt wa kikwetu kwetu.
Naulizia wapi nawezapata mashine ya Embroidery vichwa vitatu?
Kwa maana nyingine naulizia duka linalouza mashine kwa hapa Dar.
Asanteni
Waswahili wasema lila na fila havitangamani, basi vivyo hivyo vitu vitatu hivi havikai pamoja, na ukivipata basi tunasema ni neema.
Kimoja kinaweza kutafutwa kwa juhudi ingawa pia waweza kosa ila viwili ukivikosa umevikosa
1. Akili,
2. Uzuri,
3. Uwezo wa kujikimu, si lazina uwe tajiri ila...
Wadau natamani leo nione mawazo yetu hivi nyumba ya vyumba vinne ambazo tunaamini za kisasa na zile za vyumba vitatu tunaamini za zamani ipi Bora
Kwa mimi naona vyumba vitatu sawa maana nyumba kuna wakati inakuwa kubwa mnabaki na familia chache ata kufanya marekebisho inakuwa inakushinda...
Dkt Emanuel Nchimbi juzi kasema kuna vyama walishiriki kuvianzisha na vimekua kwa sasa vyama ambavyo wameanzisha na vimekua ni vifuatavyo.
CHADEMA, ACT-WAZALENDO ni vyama ambavyo vyote vilianzishwa na CCM japo kwa nyakati tofauti lakini leo vyama hivi vinatafuta njia ya kushika dola kwa...
Upendo haupaswi kuumiza yeyote. Ikiwa unachotaka ni upendo unaodumu, unaweza kuupata hakika...
There’s nothing wrong with you. And there’s nothing wrong with the one who broke your heart..
Hapa kuna vidokezo vitatu…
Moja, upendo wa kudumu ni ujuzi, hauji kwa bahati. Love can be...
Karibu...
1. MDOMO
Jifunze ku-control mdomo wako, mdomo unaharibu mdomo unatengeneza, unatakiwa ujue kutofautisha kati ya muda sahihi wa kuongea na muda wa kunyamaza na kusikiliza wengine. Usijiongelee mambo mabaya hata kama mnataniana na washkaji, jifunze kuwatamkia watu mema na kuwaambia...
Habari za jioni ndugu zangu,
Naomba kuuliza kiwanja chenye ukubwa wa 15x15 kinaweza kutosha nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na choo Kwa wanaojua naombeni msaada mnijulishe wadau maana Kuna sehemu nataka nianze ujenzi
Habari zenu mabibi na mababu.
Natarajia kuingia katika ujenzi wa nyumba yangu sasa nimetafakari nimeona nianze na nyumba yenye vyumba VITATU kimoja kikiwa Master, sebule, dining, jiko, store, public toilet.
Kama kuna wajuzi wa michoro ya Ramani naombeni msaada itapendeza ikiwa Ramani ya kisasa...
Sijue huko kwenu vipi lakini mwenzenu ninayokutana nayo sio mepesi, lakini kwasababu mimi ni mtu makini huwa nafanikiwa kutoka, si Rahis ni mkono wa Mungu tu 😁
Ndani ya kipindi kifupi nimedate na wasichana watatu wa hovyo,
unajua kuna vitu huwezi elewa wala kueleza hadi ukutane navyo upate...
Wakuu, kwema?
Kwa wanaoishi ghetto au wenye sebule, wakati unapambana kubadirisha muonekano wa chumba chako, ebu jaribisha na hivi vitu vitatu hapa chini, vinaweza kubadirisha sana muonekano wa room yako.
1. Picha za Ukutani
Hii ndio urembo wa sebule wa bei ndogo kabisa. Kutegemeana na...
Napangisha Nyumba
Ipo Kiseke PPF Mwanza room 3 mojawapo ni master, sebule, jiko etc
Bei ni 2,500,000/- kwa mwaka.. unaruhusiwa kulipa miezi sita..
Karibu sana!
Ukitoa mafanikio ya kufungua wasap channels, Manzoki kuja kwenye uchaguzi, KIbu denis kuikanda Yanga Sc mara mbili mfululizo pamoja na kuishia Robo klabu bingwa Afica kama ilivyozoeleka Simba sc wametwaa kombe linguine la Muungano kwa kuichapa Azam Fc goli moja kwa nunge goli lilio fungwa na...
Salaam, Shalom.
Ili kudhibiti matumizi mabaya ya pesa kwenye uchaguzi, pia Ili kuhakikisha vyama vinagharimia ipasavyo wagombea wao, na Ili kuondoa ubaguzi Kwa wagombea wasio njema kiuchumi, nashauri yafuatayo;
1. Vyama vya siasa nchini viwe vitatu pekee.
2. Vyama vingine vifutwe au...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imefanya ziara ya ukaguzi wa miundombinu ya Mradi wa Umeme wa Kinyerezi One ambao pia itatumika katika Mradi wa Reli ya Kisasa ya SGR na kueleza kufurahishwa na maendeleo ya mradi huo, leo Jumatano Desemba 13, 2023.
Akizungumza mara baada ya ukaguzi wa Kamati...
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imevifungia vituo vitatu vya mafuta kwa miezi sita baada ya kubainika vilificha mafuta kati ya Julai na Agosti 2023.
Vituo hivyo ambavyo vipo katika mikoa mitatu tofauti vimekumbwa na shubiri hiyo baada ya kuthibitika vilificha mafuta...
Warusi wanaishi maisha ya kukazia macho angani muda wote
Russia blocks fresh drone attack on Moscow, says mayor
Russia reported a new drone attack on Moscow in the early hours of Saturday which again forced authorities to temporarily shut down all three major airports serving the capital...
KUPERUZI SIMU KWA VITUFE VITATU
Tukiachana na wazee and the likes, Nashangaa kuona bado kuna watu wamekomaa kuendelea kutumia vile vitufe vitatu vilivyopo chini ya screen.
KUPERUZI SIMU KWA GESTURE
Gesture imerahisisha sana kutumia simu,
ukiswipe pembeni kulia au kushoto unarudi nyuma (back)...
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro.
Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini, ukiwa unaelekea Dodoma. Hilo eneo linajulikana kama Nguvu Kazi. Baadhi ya Majirani wameshajenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.