vitatu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Equation x

    Maisha yanakuhitaji umiliki vitu vitatu tu

    Maisha yanahitaji umiliki vitu vitatu tu:- Makazi -nyumba ya kuishi Usafiri- wa kukutoa sehemu moja kwenda kwingine Biashara- kitu cha kukuingizia kipato, iwe majengo, usafirishaji n.k Na wengi wanapambana kuajiriwa, kutafuta nafasi n.k ili tu kuweza kufanikisha hayo mambo makuu matatu...
  2. Mangi shangali

    Ukiwa shabiki wa pili lazima ujue vitu hivi vitatu..

    Salaam wasalaam. Ukiwa shabiki wa pili lazima ujue vitu hivi vitatu.. KUSHINDA KUFUNGWA DROO ukishajua hivi kamwe hautaumizwa na matokeo yeyote. Ndo maana mpira nime ufanya ni starehe kama sterehe zingine. Siwezi nikaumia kisa mpira. Siwezi nikagombana kisa mpira. Daima sitauwamini mchezo...
  3. M

    Unapojenga nyumba ya kuishi fikiria sana mahitaji yako halisi, vyumba vitatu vinatutesa wengi

    kipindi hiki cha likizo, mimi kama mwalimu ili kupunguza zarau maana tunaonekana walimu ndio watu maskini na hatuna akili nchi hii,so kama kawaida likizo hii nimendelea kufanya biashara zangu za mazao na nimejikuta nipo zambia , hulka yangu napenda kudadisi na kujifunza vitu vipya...
  4. evans555

    Naomba kujuzwa gharama za ujenzi vyumba vitatu mpaka lenta

    Naomba kujua ujenz wa room 3(kimoja masta) na public toilet moja na jiko ndan, eneo sq20 kwa 15. Dar es Salaam
  5. JanguKamaJangu

    Malawi: Serikali yafungia vituo vitatu vya TV na 6 vya radio

    Serikali ya Malawi imevifungia vituo vitatu vya Televisheni na sita vya radio kutokana na kutolipa ada ya mwaka ya leseni, ambapo pia zoezi linatarajiwa kuendelea kwa kufungia leseni za vyombo vya habari 30 kufikia mwisho wa 2022. Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Habari kwa Kusini mwa Afrika...
  6. GENTAMYCINE

    Kuna watu najua tu vigingi hivi vitatu vitawaacha vichwa chini, watagombana na hadi kutafutana uchawi

    1. Kwa Simba SC anaziacha Alama 3 2. Kwa Namungo FC anaziacha Alama 3 3. Kwa Azam FC anaziacha Alama 3 4. Kwa Mbeya City FC anaziacha Alama 2 5. Kwa Biashara United FC anaziacha Alama 2 6. Kwa Coastal Union FC anaziacha Alama 2 7. Kwa Polisi Tanzania anaziacha Alama 2 Na katika ASFC dhidi...
  7. Mshana Jr

    Vitu vikubwa vitatu vilivyosababisha kesi ya ugaidi ifutwe na DPP

    Achana na ajabu la kesi ya ugaidi kufutwa! Kuna vitu havitokei bahati mbaya ama kwa mara moja. Kila kitu kina mchakato wake. Mipango na utekelezaji Kesi ya ugaidi iliyokuwa ikimkabili mwenyekiti Taifa wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu imefutwa na washtakiwa wote wameachiwa huru kwa...
Back
Top Bottom