Chama cha Waandishi wa Habari Arusha(APC) wamelaani vitendo vya watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wanaoandika habari za Lengai Ole Sabaya
Watu hao wamekuwa wakiwatisha waandishi kwa simu kuwaonya juu ya namna wanvyoripoti muendelezo wa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai
Hivi karibuni...
Nianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.
Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.
Haramu huliwa na haramu
Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea...
Hapa ni msemaji wa Yanga akitest mitambo kuona mwitikio. Mengi zaidi yatajiri hivi karibuni.
Nawaomba Simba Sc wenzangu hasa Haji Manara na fans wa mitandaoni wapunguze vitisho kwa Yanga. Ni vile tu Yanga hawawezi kusema tunatishwa na Manara.
Wanaandika kwenda dokezo TFF wakidai Simba...
Zilikuwa ni kauli za kipuuzi kwa muda wake wa kipuuzi. Tunamshukuru Mungu zimekoma kabisa kabisa.
Mungu akikupa mamlaka usiyatumie kama fimbo kwa kuwa unao uwezo wa kuyatumia kama fimbo na ukapata unachotaka. Tunamshukuru aliyekomesha kauli hii na za aina yake.
Narudia tena "Mungu ni mwema"...
Naomba sana Rais wangu Mama Samia kupiga marufuku ya hii kamatakama ya hawa Tarura unapopaki pembeni ya barabara ama kwa dharura umewasha double hazard lakini bado wanakuja kukamata ni kikubwa huwa wanachukuwa rushwa tu.
Hawa jamaa wa Tarura hutembea kwenye Noah na wengine bajaji wanatengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.