IMESHUKA BEI
TOYOTA VITZ
Full A/C
Cc 990
4 piston
No mechanical problems
imebadilishwa rangi
Bei: mil 4.5
Simu- 0713096076
ipo kawe, Dar es salaam.
Serious customers dont comment. Pls call asap
Vitz new model in good condition
Bei yake 6million (njoo na laki 2 ya dalali)
x'tics
cc 1290
mileage: 100,000kms
piston 3
haijawahi pata ajali
LOCATION: Lugalo, Dar es salaam
mawasiliano 0713096076 tumalize kazi
Gari iko njema tu, changamoto ni AC na ringi za kubadilisha.
Njoo na hela ya boss, milioni tatu,
Dalali nipe laki 1 inatosha. Nipo hapa Simiyu, Bariadi nipigie 0713096076 nikuunganishe na mwenye gari
Habari wakuu
Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani..
Nina idea ya Biashara kidogo
Idea yenyewe ni hivi
Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2).
Kwa miaka 2, kila siku...
Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa.
Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge...
HABARI YA MAJUKUMU?
KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU.
VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
bei nafuu
benz
biashara
bmw
gari
harrier
inauzwa
injini
japan
karibu
kuagiza
kuagiza gari
land rover
magari
majibu
manual
mayai
mbeya
mitsubishi
nissan
picha
siku
soko
subaru
toyota
usafiri
ushuru
viti
vitz
volvo
waagizaji
wazi
xtrail
Cc 990.
Engine iko vizuri.
AC inafanya kazi.
Inafanya uber mpaka sasa.
Imetunzwa vizuri tu haina tatizo
Njoo na 5.6mil uchukue chombo
Mbezi Dar es salaam: 0744033555
Natafuta Toyota vitz nzuri.
New model au hata old model ambayo iko vizuri.
Gari isiwe na vipengele/ubovu (nitafilisika/mke wangu atanilaumu)
Bajeti 4,000,000 hadi 5,000,000
Napatikana Kinondoni Dar es Salaam.
Mad Max
Ndeko
mmewadadako
Tunzo10
SOLD BY THE OWNER TOYOTA VITZ NEW MODEL-2008
Asking Price: TZS 8,500,000
Location: Dar es salaam, Tabata
Low Mileage: 64,000KMs
Number: T*** DNY
Imported: Dec 2017 with 59,000 KMs,
New Tires installed November 2019
No accident history, elegant and minty. All documents available.
Economy...
Nina gari aina ya Toyota Vitz ya mwaka 2000 yenye cc 990 ulaji wake wa mafuta ni km 9 kwa litre 1.
Wakati kwa wengine inakula 12km kwa litre. Kwangu tatizo litakuwa ni nini wadau.
Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja kwa moja Japan na nchi nyingine.
Hivyo sasisho zote kuhusu bidhaa na huduma zetu utazipata huko...
Jamani pamoja na kuwa maendeleo sasa watu wameadvance lakini hii habari ya kwenda kwa mganga Kariakoo, kwanza unajua kodi ya Kariakoo ilivyo ghali, mganga anaendesha Vitz lazima safari yako ilipie mafuta.
Mganga anakutuma ulete kilo mbili za mchele, nazi mbili na jogoo mweupe usafishwe nyota...
Habari zenu wananzengo, kama tangazo linavyosomeka hapo juu, natafuta gari ya kununua iwe TOYOTA Vitz old model, Passo Piston 4 au Starlet.
Namba Ianzie B,C au D Iwe Kwenye hali nzuri nikiwa na maana Full Air Condition na Engine isiwe cherehani au inayopiga manyanga.
Kwa walio serious...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.