vitz

  1. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota vitz for sale

    IMESHUKA BEI TOYOTA VITZ Full A/C Cc 990 4 piston No mechanical problems imebadilishwa rangi Bei: mil 4.5 Simu- 0713096076 ipo kawe, Dar es salaam. Serious customers dont comment. Pls call asap
  2. Ramon Abbas

    Car4Sale Vitz new model kwa bei ya boss mwenyewe

    Vitz new model in good condition Bei yake 6million (njoo na laki 2 ya dalali) x'tics cc 1290 mileage: 100,000kms piston 3 haijawahi pata ajali LOCATION: Lugalo, Dar es salaam mawasiliano 0713096076 tumalize kazi
  3. Ramon Abbas

    Car4Sale Vitz nyingine hii hapa cc 990, kwa 4m. Temeke Dar

    Gari iko vizuri sana katika idara ya mafuta haina AC. Imepigwa polish tu kwa ajili ya kuing'arisha. Ipo Temeke, DSM Call me 0713096076
  4. Ramon Abbas

    Car4Sale Toyota Vitz namba BV cc 990, kwa milioni 3

    .......
  5. Ramon Abbas

    Car4Sale Ukiipenda hii Vitz, njoo hapa Sinza na Milioni 3

    Gari iko njema tu, changamoto ni AC na ringi za kubadilisha. Njoo na hela ya boss, milioni tatu, Dalali nipe laki 1 inatosha. Nipo hapa Simiyu, Bariadi nipigie 0713096076 nikuunganishe na mwenye gari
  6. Mjuzi Wenu

    Car4Sale Gari aina ya Vits inauzwa kwa Milioni 4

    Gari halina shida yoyote Ni rangi tuuu inaweza ikarudiwa ili gari iwe Bora zaidi Bei 4million Kwa mawasiliano nivheck whatsaup kupitia 0692235221
  7. No SQL

    Niuzie Vitz au IST kwa 6 million

    Nahitaji gari nzima ya kuzungukia hapa mjini, mwenye nayo anaweza kunisaidia kwa 6 million. Nipo Dar
  8. Marcel_10

    Kwa wauzaji wa IST, Vitz, Noah

    Habari wakuu Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani.. Nina idea ya Biashara kidogo Idea yenyewe ni hivi Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2). Kwa miaka 2, kila siku...
  9. RRONDO

    Nawafikishieni Ujumbe Mnaoendesha IST na Vitz

    Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
  10. N

    Lema awananga wanaodhani kuyapatia maisha na kukalia kimya kukamatwa kwa Mbowe

    Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa. Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge...
  11. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  12. Down To Earth

    Car4Sale Vitz namba D for 5.6 mil

    Cc 990. Engine iko vizuri. AC inafanya kazi. Inafanya uber mpaka sasa. Imetunzwa vizuri tu haina tatizo Njoo na 5.6mil uchukue chombo Mbezi Dar es salaam: 0744033555
  13. Mlolongo

    Natafuta Toyota VITZ wakuu! Bajeti yangu maximum 5,000,000

    Natafuta Toyota vitz nzuri. New model au hata old model ambayo iko vizuri. Gari isiwe na vipengele/ubovu (nitafilisika/mke wangu atanilaumu) Bajeti 4,000,000 hadi 5,000,000 Napatikana Kinondoni Dar es Salaam. Mad Max Ndeko mmewadadako Tunzo10
  14. Mr Evans

    Nauza Toyota vitz new model 2008

    SOLD BY THE OWNER TOYOTA VITZ NEW MODEL-2008 Asking Price: TZS 8,500,000 Location: Dar es salaam, Tabata Low Mileage: 64,000KMs Number: T*** DNY Imported: Dec 2017 with 59,000 KMs, New Tires installed November 2019 No accident history, elegant and minty. All documents available. Economy...
  15. mambo_safi

    Natafuta IST au VITz ya kukodi kwa ajili ya uber

    Mwenye IST au VITz ya kukodi kwa ajili ya uber tuwasiliane! Nitamletea hesabu nzuri. Gari langu liko kwenye matengenezo makubwa! 0738969673
  16. Bpk

    Ulaji wa mafuta Toyota Vitz

    Nina gari aina ya Toyota Vitz ya mwaka 2000 yenye cc 990 ulaji wake wa mafuta ni km 9 kwa litre 1. Wakati kwa wengine inakula 12km kwa litre. Kwangu tatizo litakuwa ni nini wadau.
  17. Magari Aina Zote

    Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Ndugu mdau uliyekuwa ukitufuatilia kupitia mnakasha huu, tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na mabadiliko ya sera zetu, tumelazimika kufungua mnakasha mpya kwa ajili ya magari yanayotoka moja kwa moja Japan na nchi nyingine. Hivyo sasisho zote kuhusu bidhaa na huduma zetu utazipata huko...
  18. H

    Mwenye Suzuki Carry Family nabadilisha na Toyota Vitz 0767333440

    Nabadilisha Toyota Vitz kwa Suzuki Carry Family. Vitz ni kali sana piga 0767 333 440.
  19. Daisy Llilies

    Tuje kwenye elimu ya dunia, unapelekwa kwa mganga Kariakoo, mganga anaendesha Vitz amevaa raba mtoni

    Jamani pamoja na kuwa maendeleo sasa watu wameadvance lakini hii habari ya kwenda kwa mganga Kariakoo, kwanza unajua kodi ya Kariakoo ilivyo ghali, mganga anaendesha Vitz lazima safari yako ilipie mafuta. Mganga anakutuma ulete kilo mbili za mchele, nazi mbili na jogoo mweupe usafishwe nyota...
  20. K

    Natufuta vitz, passo au starlet, budget Tsh4 mil

    Habari zenu wananzengo, kama tangazo linavyosomeka hapo juu, natafuta gari ya kununua iwe TOYOTA Vitz old model, Passo Piston 4 au Starlet. Namba Ianzie B,C au D Iwe Kwenye hali nzuri nikiwa na maana Full Air Condition na Engine isiwe cherehani au inayopiga manyanga. Kwa walio serious...
Back
Top Bottom