Kabla ya Simba SC kucheza na TP Mazembe katika Simba Day Kauli zilikuwa ni....
"TP Mazembe ya sasa hivi ni mbovu mbovu na Simba SC imejitafutia Timu mchekea ili ishinde kirahisi"
Baada ya Simba SC kufungwa na TP Mazembe katika Simba Day Kauli zimebadilika ghafla na kuwa....
"Hii sasa ndiyo TP...
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amekiri bila kutangaza vivutio vilivyopo nchini Utalii hauwezi kuendelezwa. Ametoa kauli hiyo akimjibu Mbunge aliyehoji kuhusu mkakati wa kutangaza vivutio vya Kusini.
Akiwa Bungeni, Masanja amesema bila kuimarisha miundombinu utangazaji wa...
Mbuga ya wanyama ya Serengeti nchini Tanzania imechaguliwa kuwa mshindi wa vivutio vya utalii duniani na kampuni ya Tripadvisor.
Tuzo hizo hutolewa na kampuni hiyo inayoshushughulika na kutoa mrejesho wa mahoteli na vivutio mbalimbali duniani.
Hifadhi tatu nchini Tanzania zimeibuka kidedea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.