viwanja vya ndege

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    Nchi ambazo hazina Viwanja vya Ndege

    Sisi wahaya ni watu ambao ndio makabila ya mwanzo kuanza kuvuka border, ni watu tuliwahi kupata exposure mapema, ukibisha basi nenda Vatican umuulize Pope ni kabila gani kutoka Tanzania ambalo kila siku makadinali wake wanaongoza kuongia Vatican utaambiwa ni wahaya, Juzi kati tu Papa kamuapisha...
  2. JanguKamaJangu

    Kenya: Kukatika kwa umeme, Bosi wa Viwanja vya Ndege afukuzwa kazi

    Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini Kenya amefutwa kazi baada ya kukatika kwa umeme na kuwaacha abiria wakiwa gizani kwa saa kadhaa katika Uwanja Mkuu wa Ndege wa Nairobi. Alex Gitari alifutwa kazi na Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen, ambaye ameomba radhi kwa changamoto hiyo...
  3. JanguKamaJangu

    Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

    Balozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari katika Hoteli ya Regency Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano yaliyoingiwa kati ya Tanzania na DP World. Soma hapa hotuba nzima ======= Dkt. Slaa: Hadi kufikia hatua ya azimio hili kuridhiwa na Bunge, ikumbukwe...
  4. U

    Kama Waarabu wanaiba wanyamapori kupitia viwanja vya ndege, huko bandarini wataiba kiasi gani?

    Waarabu awamu ya nne walikuwa wanajipimia kila walichokipenda kupeleka kwao uarabuni. Madege makubwa ya mizigo yalisomba kila aina ya raslimali kwenda kwao uarabuni. Watanzania walipiga kelele lkn kwa kuwa waarabu walikuwa na kiburi juu ya utawala uliokuwepo hawakujali waliendelea kusomba...
  5. Goodhope078

    Mdogo wangu ameomba kazi Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kama Aircraft Marshall

    Jamani khabari za uzima!? Kwanza nipende kupeni pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Ndugu zangu naombeni msaada kuna mdogo angu ameomba kazi mamlaka ya viwanja vya ndege kama aircraft Marshall. Lakini nikiangalia majina yanayota ya wanaoitwa kwenye usaili ni tasisi zingine tu kama kuna mtu...
Back
Top Bottom