vodacom

  1. K

    Vodacom kuweni makini na mitandao yenu

    Asubuhi ya leo tarehe 29.1.2020 nilienda kutoa fedha kwenye kibanda cha M-Pesa. Nilifuata taratibu zote na nikaelezwa kuwa taratibu zimekamilika. Nilisubiri ili nipate ujumbe wa kutoa fedha bila mafanikio. Nilikaa pale kwa muda wa saa moja bila mafanikio na hivyo ikabidi niondoke. Usiku huu saa...
  2. uttoh2002

    Question to Vodacom Administration

    1. What is the point of reminding me to register my number every time I make a call while: - Due date is 20th Jan And today is 29! - I registered my number a while ago! Do you real care how I feel to be interrupted every time I make calls? 2. Why are you hiding your direct line to customer...
  3. Chachasteven

    Maduka ya Vodacom kuwa wazi kwa masaa 24 kuanzia tarehe 20

    Mchakato wa kusajili laini za simu kwa alama za vidole bado ni mgumu sana kwa sababu kadhaa. Moja na kubwa ikiwa ni ya NIDA kushindwa kutoa vitambulisho kwa wakati kulingana na idadi ya watu pamoja na mahitaji na muda uliopangwa. Pamoja na kuwa siku za kukamilisha usajili ziliongezwa, bado kuna...
  4. Miss Zomboko

    Vodacom yaongoza kwa kutoza gharama kubwa za intaneti kwa wateja

    Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ya robo ya mwaka inayoishia Septemba 2019 zinaonesha kuwa kampuni ya Vodacom Tanzania ndiyo inayoongoza kwa kutoza gharama kubwa zaidi ambapo hutoza TZS 205 kwa megabyte (MB) mteja anayotumia. Wakati Vodacom ikitoza kiwango hicho...
  5. Mau

    Hivi TCRA wanaitambua hii biashara ya Vodacom?

    Kuna kabiashara ka mkopo kameanzishwa na kampuni ya Vodacom, wanacharge riba pamoja na processing fee. Swali nililojiuliza ni mbona sipati message za mgawanyo wa hayo mapato kwa serikali kama vile wanavyotutumia ukinunua voucher? You have received an overdraft of TZS.10,107.00 You will be...
  6. Kididimo

    TCRA mulikeni Vodacom, wateja tunapigwa

    Kuna mambo hayako sawa: Naomba mchunguze haya: 1. Gharama za kutuma na kutoa fedha,ziko juu sanaa, ndvyo hivyo kama Serikali mlikubaliana? 2. Gharama ya kuhamisha miamala kutoka benki kwenda M- Pesa. Iko juu na hutozwa double! 3. Kukatwa fedha bila maelezo hasa unaporwcharge voucher! Mfano...
  7. R

    Songesha ya Vodacom ni nini?

    Jamani hii kitu inaitwa Songesha nini nini na inafanyaje kazi? Maana wao hawaaminiki maelezo yao siyaamini, haya makampuni ya simu ni wezi!
  8. dubu

    Wajumbe wengine bodi ya Vodacom Tanzania watangaza kujiuzulu

    Leo Jumatatu Desemba 23, 2019 Kampuni ya Vodacom Tanzania imetangaza kujiuzulu kwa wakurugenzi wawili Andries Delport na Till Streichert kuanzia Mei na Juni 2020. Wakurugenzi wawili wa bodi ya kampuni ya Vodacom Tanzania; Andries Delport na Till Streichert wametangaza kujiuzulu. Tangazo...
  9. K

    TCRA wafuatilieni Vodacom

    Mimi ni mteja wa Vodacom nikiwa na line yao na pia line yao ya internet. Nimekuwa nikinunua kifurushi chao kila mwezi kwa gharama ya Tshs. 35,000 na kifurushi hiki kwa siku za nyuma nilikuwa ninakitumia kwa mwezi mzima. Nimeendelea kununua kifurushi cha GB10 kwa Tshs. 35,000 ili nikitumie kwa...
  10. M

    Forgery za mfanyakazi wa nje za Vodacom Plc zaanikwa kwa Waziri na Rais Magufuli

    To: Minister of Labor, The United Republic of Tanzania, Prime Minister's office, Labor, Youth, Employment and Persons with disabilities, P. O Box 2890, Dodoma. 28th November 2019 Dear Sirs, RE: ESCALTION ON GOING FORGED WORK PERMIT BY Mr. LUIS EDUARDO FEDRIANI – VODACOM Plc EMPLOYEE Refer to...
  11. K

    Naomba nielimishwe na Vodacom

    Mimi ni mteja mkubwa wa Vodacom nikinunua bundle ya kila mwezi ya Tshs.35000. Nilinunua bundle ya Tshs.35000 ya GB 10 tarehe 27/11/2019 leo tarehe 30/11/2019 nimepata message kuwa kifurushi changu kimeisha wakati zamani nilikuwa natumia bundle kwa mwezi mzima. Bado sijaamini macho yangu...
  12. Jamii Opportunities

    Manager: Resourcing and Development at Vodacom Tanzania

    Position Manager: Resourcing and Development - HRLDOE Role purpose: Delivering an employee experience that unlocks personal growth & business performance by creating a strong community that everyone is proud to be part of. Responsible for acquiring and developing skills and capabilities...
  13. M

    MB za Vodacom kuwahi kuisha

    Jamani ni mimi tu au wote? MB za Vodacom zinawahi kuisha kuliko matumizi. Vodacom kunani?
  14. Author

    Mtandao upi uko Poa kwenye internet mikoani kati ya Vodacom na Tigo

    Habari Wana JF, Nataka kuwa B2B (Business to Business) customer kwenye moja ya mitandao niliyoitaja hapo juu ambapo nitakuwa nanunua kifurushi kila mwezi. Huwa natumia sana kwenye internet. Naomba kufahamu ni mtandao gani mzuri sana kwenye internet. Nipo Mbeya Natanguliza shukrani wadau
  15. B

    Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu

    NAYASHITAKI MAKAMPUNI MANNE YA SIMU. BASHIR YAKUB, Wakili. 0714047241 Naishitaki Tigo, Airtel, Vodacom na Halotel. Kwa mujibu ya Sheria Namba 12/2003 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania mashtaka ya aina hii natakiwa kuyaandikia makampuni hayo taarifa kuyataka yarekebishe ndani ya siku 30...
  16. Jamii Opportunities

    New Job Vacancies at Vodacom Tanzania, Administrator: M-PESA Agents | Deadline: 01st November, 2019

    Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN JOB PURPOSE The M-PESA Agent Administrator will be responsible to assist the M-PESA support Managers deliver against M-PESA revenue targets...
  17. hidemyid2019

    Vodacom wamevujisha taarifa zangu(?) - Kuweni makini na matumizi yenu ya Simu

    Kwanza kabisa naomba kuwasalimu wote, Baada ya hapo kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kueleza jinsi ilivyokuwa hadi mimi kufikia hatua ya kusema kuwa VodaCom wamevujisha taarifa zangu za mawasiliano Leo majira ya saa nane mchana, niliwasiliana na mwenye nyumba wangu kuhusu tatizo la...
  18. beth

    UFISADI: $350 million stolen from Tanzanians in Vodacom scandal

    $350 million (675 BILLION SHILLINGS) stolen from Tanzanians in Vodacom scandal Posted on April 27, 2015 - Tycoons Tanil Somaiya & Rostam Aziz implicated in the scam - Vodacom Tanzania MD Rene Meza receives $5 million bribe to keep silent - Tax worth over 121.5 billion/- evaded in the deal...
Back
Top Bottom