volodymyr zelensky

Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy (Ukrainian: Володимир Олександрович Зеленський, pronounced [woloˈdɪmɪr olekˈsɑndrowɪdʒ zeˈlɛnʲsʲkɪj]; born 25 January 1978) is a Ukrainian statesman, former actor and comedian who has been serving as the president of Ukraine since 2019. He gained worldwide recognition as the wartime leader of Ukraine during the Russian invasion of Ukraine.Zelenskyy grew up in Kryvyi Rih, a Russian-speaking region in southeastern Ukraine. Prior to his acting career, Zelenskyy obtained a degree in law from the Kyiv National Economic University. He then pursued comedy and created the production company Kvartal 95, which produces films, cartoons, and TV shows including Servant of the People, in which Zelenskyy played the role of president of Ukraine. The series aired from 2015 to 2019 and was immensely popular. A political party bearing the same name as the television show was created in March 2018 by employees of Kvartal 95.
Zelenskyy announced his candidacy for the 2019 Ukrainian presidential election on the evening of 31 December 2018, alongside the New Year's Eve address of President Petro Poroshenko on 1+1 TV Channel. A political outsider, he had already become one of the frontrunners in opinion polls for the election. He won the election with 73.2 per cent of the vote in the second round, defeating Poroshenko. Identifying as a populist, he has positioned himself as an anti-establishment, anti-corruption figure.
As president, Zelenskyy has been a proponent of e-government and unity between the Ukrainian-speaking and Russian-speaking parts of the country's population. His communication style heavily utilises social media, particularly Instagram. His party won a landslide victory in a snap legislative election held shortly after his inauguration as president. During his administration, Zelenskyy oversaw the lifting of legal immunity for members of the Verkhovna Rada, Ukraine's parliament, the country's response to the COVID-19 pandemic and subsequent economic recession, and some progress in tackling corruption. Critics of Zelenskyy claim that in taking power away from the Ukrainian oligarchs, he has sought to centralise authority and strengthen his personal position.Zelenskyy promised to end Ukraine's protracted conflict with Russia as part of his presidential campaign, and attempted to engage in dialogue with Russian President Vladimir Putin. Zelenskyy's administration faced an escalation of tensions with Russia in 2021, culminating in the launch of an ongoing full-scale Russian invasion in February 2022. Zelenskyy's strategy during the Russian military buildup was to calm the Ukrainian populace and assure the international community that Ukraine was not seeking to retaliate. He initially distanced himself from warnings of an imminent war, while also calling for security guarantees and military support from NATO to "withstand" the threat. After the commencement of the invasion, Zelenskyy declared martial law across Ukraine and general mobilisation.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Baada ya Marekani kusitisha misaada, Urusi yafyatua Kombora nchini Ukraine katika harakati za kuichukua Kursk

    Hali inazidi kuwa ngumu kwa Ukraine baada ya majeshi ya Urusi kuanza kuchukua udhibiti wa maeneo yaliyo Kursk ambayo yalikuwa yanadhibitiwa na Ukraine tangu Agosti 2024. Russia ilifyatua makombora aina ya cruise na makombora ya balistiki kuelekea Ukraine katika shambulio kubwa usiku kucha...
  2. R

    Huku Zelensky akiendelea kukataa vyake visiguswe, Taiwan inayosaidiwa kiulinzi na Marekani imetangaza kuwekeza Trilioni 260

    kampuni ya utengenezaji wa semiconductor ya Taiwan TSMC imetangaza kuwekeza dola bilioni 100 (shilingi trilioni 260) kujenga viwanda vya kutengeneza semiconductor nchini Marekani. Taiwan imekuwa ikisaidiwa sana kwenye mambo ya Ulinzi na Marekani, Taiwan inajihami kwa kuhakikisha kuwa inabaki...
  3. R

    Mbona mapema sana ? Baada ya Zelensky kukataa kusaini mkataba wa madini Marekani na kutimkia ulaya, kabadili msimamo yupo tayari kusaini,

    Siku chache zilizopita Zelensky alitrend kweny vichwa vya habari kwa kukataa kusaini mkataba huku baadhi ya vyombo vikimsifu ni shupavu, hodari, Hero, n.k. Zelensky alidhani kwamba baada ya kukimbia Marekani na kuelekea Ulaya angeliweza kupata msaada mkubwa zaidi, Lakini alijikuta na mshangao...
  4. Venus Star

    Uchambuzi wangu baada ya kuona mnyukano ya Trump na Zelenskyy

    Zelenskyy ni Secret Agent wa USSR aliyeiva Katika mazungumzo Zelenskyy alionekana kuwa ni mtu wa kujiamini sana. Maelezo yake aliyokuwa anayatoa ni very direct. Yeye alichokuwa anadai kwa Marekani ni Security Guarantee. Maana yake anamtaka USA aingie direct conflict na Russia. Trump alikuwa...
  5. Mathanzua

    Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

    Mabishano Makali Katika Oval Office: Zelensky Aingia Katika Mvutano Mkubwa na Viongozi wa Marekani Rais DonaldTrump na Rais wa Ukraine #VolodymyrZelensky walikuwa na mivutano mikali wakati walipokutana katika Ikulu ya White House. Trump na Makamu wake Rais JDVance walionyesha wazi kuwa waliona...
  6. Bams

    Mgogoro wa Ukraine, Maseneta wa Marekani Wasema Trump Ni Kibaraka wa Putin, Anaongea Kwa Niaba Yake Binafsi

    Maseneta mbalimbali wanasema hawakubaliani na mtazamo wa Putin katika kuumaliza mgogoro wa vita ya Ukraine kwa vile Trump anatumika na Putin kulazimisha matakwa ya Putin. Jumatano iliyopita, Rais Trump akiwa Miami alisema kuwa Zelenskyy lazima akubaliane na mpango wa kumaliza vita, au la...
  7. Ritz

    Zelensky amemjibu Trump kwamba alipokea dola bilioni 100 tu za msaada wa Marekani kama ruzuku, sio mkopo

    Wanaukimbi. Zelensky anasema kwamba alipokea msaada wa dola bilioni 100 pekee kama ruzuku, sio mkopo. "Hatutambui deni la Ukraine la dola bilioni 500 kwa Marekani. Sitambui hata dola bilioni 100. Tulikubaliana na Biden kwamba ilikuwa ruzuku, sio deni." =============== JUST IN: Zelensky says...
  8. Eli Cohen

    Trump, anamwambia Zelensky nitakusaidia kuimaliza hii vita kwa makubaliano maalum ya $500 Bilioni

    Siwezi mlaumu Trump maana Marekani imemlushia pesa mingi sana Ukraine KYIV — Utawala wa Trump uko karibu kufikia makubaliano na Ukraine kuhusu upatikanaji wa haki za madini zenye thamani ya mamia ya mabilioni ya dola, ikiw ani hatua kubwa kuelekea kumaliza vita vikali vya Russia dhidi ya taifa...
  9. Heavy Heritage

    Zelensky awaagiza wasaidizi wake kukataa mpango wa Marekani wa kupata madini adimu kutoka Ukraine

    Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amewaagiza wasaidizi wake kukataa pendekezo kutoka kwa maafisa wa utawala wa Trump ambalo lingewapa Marekani upatikanaji mkubwa wa madini adimu ya Ukraine, afisa mmoja wa Ukraine aliye karibu na Zelenskyy amethibitisha kwa NBC News. Maafisa wa Marekani...
  10. Mindyou

    Rasmi Urusi na Marekani wakutana Saudi Arabia kumaliza vita ya Ukraine, Zelensky hajaitwa kuhudhuria kikao

    Kipindi akiwa kwenye kampeni za kutafuta Urais mwaka 2024, Rais wa Marekani Donald Trump aliahidi kumaliza mgogoro kati ya Ukraine na Urusi Mwezi takribani mmoja baada ya kuapishwa, tayari mazungumzo yameanza kufanyika ili vita hiyo iliyoanza rasmi mwaka 2022 imalizike Jumanne ya leo Russia na...
  11. Sir John Roberts

    Trump athibitisha kuongea na simu na Putin kwa zaidi ya saa 1 na nusu. Mazungumzo kati ya Putin na Zelensky yataanza mara moja!

    Kupitia akaunti yake ya Truth Social Rais wa Marekani Donald Trump siku ya leo amesema kuwa amempigia simu Rais wa Urusi Vladimir Putin. Trump amesema kuwa simu yake na Putin imedumu zaidi ya saa 1 na nusu na kudokeza kuwa wawili hao wamekubaliana kufanya lazi pamoja. Katika ujumbe wake pia...
  12. Ritz

    Mawaziri watano wa Serikali ya Ukraine wajiuzulu

    Wanaukumbi. 🚨🇺🇦 BREAKING: Wanachama wafuatao wa Serikali ya Ukraini WAMEJIUZULU EN MASSE hadi Zelensky: Waziri wa Mambo ya Nje Dmytro Kuleba Waziri wa Sheria Denis Maliuska; Waziri wa Viwanda vya Kimkakati Alexander Kamyshin Waziri wa Ulinzi wa Mazingira na Maliasili Ruslan Strelets Naibu...
  13. Waufukweni

    Shambulizi la Urusi laua watu 41 Ukraine

    Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba shambulizi la Urusi limeua zaidi ya watu 40, na kujeruhi wengine 180, katikamji wa Poltava wa Ukraine. Rais Zelensky, ambaye anasema ripoti ya awali inaonyeshakuwa mji huo wa mashariki ulishambuliwa na makombora mawili ya ballistic yaUrusi...
  14. State Propaganda

    Kuna kila viashiria Zelensky atapinduliwa na kuuawa na majenerali wake

    Inaaminika siku za kuishi Zelensky zinakaribia kufika ukingoni. Anasema mchambuzi mwandamizi wa maswala ya kivita na siasa za kimataifa Scott Ritter, ambaye nijasusi mstaafu wa US. Ritter anafafanua zaidi na kusema kuna kila dalili Zelensky atafia mikononi mwa magerali wake. Ritter anaendelea...
  15. State Propaganda

    Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

    Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani. Majibu ya Zelensky Yalikuw kama...
  16. Webabu

    Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

    Hapo juzi waziri wa mambo ya nje wa Urusi ,Lavrov akiwa New York alikumbusha kwa masikitiko mengi kuwa Marekani wakisaidiwa na Uiengereza sasa hivi wako vitani rasmi na taifa lake la Urusi. Kauli yake hiyo inazidi kuungwa mkono na misimamo ya Marekni pamoja na matamshi yao ambapo Rais Biden...
  17. Mmawia

    Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

    Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako. Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma. Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure. Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana...
  18. Webabu

    Huku vifaru vikipelekwa Ukraine. Zelensky asema anataka ndege na mizinga ya masafa marefu

    Baada ya kilio cha muda mrefu na kutegeana kwa mataifa ya magharibi yanayoisaidia Ukraine kupambana na Urusi hatimae mataifa hayo yamekubali kuipelekea Ukraine ilichodai kwa muda mrefu navyo ni vifari vya Leopard kutoka Ujerumani na Abrahms kutoka Marekani. Hata hivyo muda mfupi baada ya...
  19. Mocumentary

    FIFA wakataa ombi la Zelensky la Kuhutubia kabla ya Fainali za Kombe la Dunia ili kuhamasisha Amani

    Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) linadaiwa kuwa limekataa ombi la Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kutaka kuhutubia kabla ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Dunia kati ya Argentina na Ufaransa siku ya Jumapili kuchezwa, ichezwe video yake uwanjani hapo ili kuhamasisha amani. Zelensky...
  20. DeepPond

    Zelensky: Ukraine inapoteza wanajeshi 60 - 100 kwa siku

    Raisi Zelensky usiku wakuamkia leo Amesema nchi yake inapoteza wanajeshi 60-100 kila siku kwenye mapambano yanayoendelea nchini kwake. Amezungumza hayo katika mahojiano yake na kituo Cha television Cha NEWSMAX TV CHANNEL kuhusiana na Hali ya Vita mashariki mwa Ukraine. Zelensky alisisitiza...
Back
Top Bottom