vpn

  1. Superbug

    Chanel 10 tv ya CCM yazungumzia matumizi ya VPN baada ya mtandao kufungwa huko Mynamar

    Kumbe Channel Ten inatambua kwamba serikali zinazofungia mitandao ya kijamii ni za kidikteta. Kwenye taarifa Yao ya habari wamezungumzia udikteta wa serikali ya kijeshi ya Myanmar iliyofungia mitandao na kufanya watu watumie VPN. Chanel ten wakumbuke kwamba hata serikali ya ccm ilifungia...
  2. kali linux

    Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala

    Hello bosses Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers. Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Raha, Tamu na chungu ya VPN

    VPN bana 🙌🏾😂😂😂 nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea 🇰🇷!!! 📢
  4. MURUSI

    Tumieni VPN kama internet iko slow sana

    Wale wanao pata shida ya Internet mnashauriwa ku download proton VPN then una install na una opt sehemu ya free make kuna kulipia. Fanyeni hivyo CCM walisha slow down internet
  5. I

    Four reasons why browsing with Opera’s VPN is safer

    A virtual private network (VPN) is a great way to protect yourself online, especially on public hotspots. Opera is the first and only major browser to have a built-in and unlimited browser VPN that is completely free. How can you be sure that Opera’s VPN is safe? You don’t need any extra...
  6. Castr

    Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

    Habari wadau, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada. IP Adress (Internet Protocol) ni anwani ambayo device mfano simu au computer inakua nayo pindi inapokua imeunganishwa na intaneti hivyo mtu mwingine kuweza kujua mmiliki wa hiko kifaa ni nani. VPN (Virtual Private Network) ni simulator...
  7. Izzi

    Fahamu kuhusu VPN

    VPN NI NINI? VPN ni kifupi cha Virtual Private Network. Ni encrypted tunnel kati ya vifaa viwili ambayo inakuwezesha kuingia kwenye kila website na huduma nyinginezo za mtandaoni privately na securely. SAWA, SASA HII VPN TUNNEL INAFANYAJE KAZI? VPN tunneling inaunda point-to-point connection...
  8. Nafaka

    Hivi kuna VPN extension ya chrome inayoweza niruhusu ku-access spotify?

    Kuna spradsheets za google nazijaza zinahusiana na wasanii wa Africa. Sasa ninahitaji kuaccess their spotify pages naambiwa not available in your country. Kama kuna VPN extension nzuri naomba mtu anisaidie ili niweze kuaccess hizo pages zao.
Back
Top Bottom