Kumbe Channel Ten inatambua kwamba serikali zinazofungia mitandao ya kijamii ni za kidikteta.
Kwenye taarifa Yao ya habari wamezungumzia udikteta wa serikali ya kijeshi ya Myanmar iliyofungia mitandao na kufanya watu watumie VPN.
Chanel ten wakumbuke kwamba hata serikali ya ccm ilifungia...
Hello bosses
Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.
Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona...
Wale wanao pata shida ya Internet mnashauriwa ku download proton VPN then una install na una opt sehemu ya free make kuna kulipia.
Fanyeni hivyo CCM walisha slow down internet
A virtual private network (VPN) is a great way to protect yourself online, especially on public hotspots. Opera is the first and only major browser to have a built-in and unlimited browser VPN that is completely free. How can you be sure that Opera’s VPN is safe?
You don’t need any extra...
Habari wadau, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
IP Adress (Internet Protocol) ni anwani ambayo device mfano simu au computer inakua nayo pindi inapokua imeunganishwa na intaneti hivyo mtu mwingine kuweza kujua mmiliki wa hiko kifaa ni nani.
VPN (Virtual Private Network) ni simulator...
VPN NI NINI?
VPN ni kifupi cha Virtual Private Network. Ni encrypted tunnel kati ya vifaa viwili ambayo inakuwezesha kuingia kwenye kila website na huduma nyinginezo za mtandaoni privately na securely.
SAWA, SASA HII VPN TUNNEL INAFANYAJE KAZI?
VPN tunneling inaunda point-to-point connection...
Kuna spradsheets za google nazijaza zinahusiana na wasanii wa Africa. Sasa ninahitaji kuaccess their spotify pages naambiwa not available in your country. Kama kuna VPN extension nzuri naomba mtu anisaidie ili niweze kuaccess hizo pages zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.