vumbi

  1. H

    Matuta makubwa barabara za vumbi mitaani na vijijini yanavyo sababisha kero na uharibifu wa magari

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Kumekuwa na tabia ya kuweka matuta kwenye barabara za vumbi za mitaa au vijijini kwa nia ya kupunguza ajali katika mitaa husika hasa ajali za watoto zinazohusisha pikipiki. Kufanya juhudi za kupambana na ajali ni jambo jema isipokuwa...
  2. J

    Dar es Salaam kuna vumbi sana kipindi hiki ila ukivaa Barakoa na kunawa mikono unaonekana mshamba!

    Kiukweli Dar es Salaam kipindi hiki kuna joto na vumbi kali linalopulizwa na upepo wa hapa na pale. Kwa kawaida vumbi hubeba vijidudu vya kila aina hasa ukizingatia wakazi wa Dar wana tabia ya kutema mate na kupenga kamasi hovyo hovyo tu. Japokuwa ukivaa barakoa unaonekana " wakuja" lakini kwa...
  3. Fuqin

    Kwa wale waliofanya mazoezi ya Kegel na wakapona naombeni ushauri

    Mambo vipi ndugu? Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nimeanza mazoezi ya kegel kutokana na tatizo langu la kuwahi kufika kileleni.Kwa sasa hivi nina mwezi tangu nianze na nimeonai dalili Kwa mbali kuwa ninaanza kupona ila nikisex nawahi kufika kileleni. Nina imani na zoezi hili...
  4. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Video: Mapokezi ya Mbowe yatikisa kata ya Machame, akina mama wamtandikia Khanga njia nzima asikanyage vumbi, umati wafurika!

    Kwa kadri ya macho yangu Mkutano huu wa kata ya Machame waweza kuwa umevunja rekodi ya mikutano ya kisiasa iliyowahi kufanyika kwenye jimbo la Hai. Hakika kumtoa mtu huyu kwenye jimbo hili kunahitajika wapiga kura wapya kabisa, ama labda wazaliwe watu wapya wengine Hai nzima .
  5. S

    Uchaguzi 2020 Magufuli amka Lissu ameshapita tatizo hukuona hata vumbi

    Yaani namshangaa Mheshimiwa Magufuli amebaki na kuachwa akiangalia live band tu,anakula starehe, Sijui kama anazo taarifa au wahusika hawampi na kumwambia ukweli,kuwa Tundu Lissu ameshauteka umma wa walio wengi na anaendelea kukata mbuga kwa kasi ya ajabu. Ukiangalia vizuri utaona Polepole...
  6. galon_

    Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

    Habari ya muda huu viongozi.. Poleni kwa mapambano yanayoendelea dhidi ya janga hili la ugonjwa hatari wa homa ya mapafu unaosababishwa na kirusi hatari cha corona. Tujitahdi kunawa mikono kwa maji tiririka na kutulia nyumbani. Kwa miaka kadhaa kumeibuka dawa mbali mbali tukiachana na zile za...
Back
Top Bottom