vyama vya upinzani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM Kagera: Wananchi wa Kata ya Kibingo acheni tabia ya kuwachagua viongozi wa vyama vya upinzani

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kagera, Ndg. Faris Buruhani, amewataka wananchi wa Kata ya Kibingo, Wilaya ya Kyerwa, kuacha tabia ya kuwachagua viongozi wa vyama vya upinzani na badala yake waendelee kuiunga mkono CCM. Kupata matukio na taarifa zote kwa...
  2. Tlaatlaah

    Pre GE2025 CUF, NCCR Mageuzi na ACT Wazalendo ndio vyama vya upinzani vilivyo tayari kuikabili CCM kwenye Uchaguzi Mkuu

    Kwa namna ya pekee sana, Chadema wameamua kujimaliza wenyewe kwa kujiengua na kususia uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, na kukwepa kisayansi aibu ya kushindwa vibaya sana na chama Tawala CCM. Hali hiyo inamaanisha kwamba, vyama vya CUF, NCCR MAGEUZI, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya...
  3. upupu255

    Pre GE2025 Prof. Lipumba: Tumeshajeruhiwa na Muungano wa Vyama vya Upinzani

    Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa maridhiano ndani ya vyama vya upinzani yamekuwa yakileta madhara na kuwajeruhi, na kwamba wamejifunza kutokana na yaliyotokea kipindi cha nyuma. Akizungumza na Wanahabari Lipumba amesema kuwa kuna watu wanaotafuta...
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Vyombo vya Habari havitendi haki kwa Vyama vya upinzani, vyote vinakuwa vya CCM

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Tundu Lissu akizungumza wakati wa mkutano kati ya CHADEMA na Jukwaa la Wahariri (TEF) amesema Vyombo vya Habari vyote nchini havitendi haki katika kuripoti masula ya Uchaguzi kwa vyama vikuu vya upinzani. Soma: Hali ya Vyombo vya...
  5. Carlos The Jackal

    Vyama vya Upinzani, unganeni na CHADEMA , Waachieni CCM uchaguzi wao wenyewe , unganeni kupigania Hatima yenu ya Sasa na Baadae !!

    Ninawahakikishia, Siku mtakayotoa Kauli Moja tu ya kwamba, HAMTASHIRIKI UCHAGUZI WOTE BILA MABADILIKO , mchakato waabadiliko hayo utaanza mara Moja . Waachieni CCM uchaguzi wao, wajifanyie Kampeni wao, wajichague wenyewe !!. Achanane na Hadaa za muda mfupi za CCM , kwamba zitakupa Ruzuku ...
  6. T

    VYAMA VYA UPINZANI MSIJE KUSEMA MMEIBIWA KURAW

    Wakati CCM tayari imeshateua mgombea uraisi wa JMT na ule wa Zanziba pamoja na kuchagua mgombea umakamo wa Raisi waJMT. Vyama vya upinzani havijulikani vinafanya nini, mfano TLP, NCCR, CUF, na ACT sijui hata kama bado viko hai. Tunajua CHADEMA wao baada ya uchaguzi ni mwendo wa kusindikizana...
  7. T

    Pre GE2025 Ally Hapi amesema CHADEMA wasitumie No reform no election kama njia ya kukimbia mapambano, adai mabadiliko Watanzania wameshayaona

    Katibu wa jumuiya ya Wazazi Ally Hapi amewataka vyama vya upinzani kuacha visingizo vya kukimbia mapambano ya uchaguzi kwani mabadiliko wanayoyataka wapinzani tayari Watanzania wameshayapata. Ameeleza kuwa mabadiliko hayo yameletwa na Rais Samia, ambapo mabadiliko hayo ni uwepo wa maji na...
  8. T

    Pre GE2025 NCCR Mageuzi wasema hawapo tayari kuunganisha nguvu na chama chochote cha upinzani

    Wakuu NCCR nao nao wanadai hawapo kuunganisha nguvu na chama chochote cha upinzani, wanasahau kidole kimoja hakivunji chawa Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar...
  9. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani nchini vimeupuuza wito wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, wa kuunganisha nguvu, au wamehisi ni ulaghai na utapeli?

    Nini hasa unadhani kimepelekea vyama vya upinzani nchini, kupuuza na kuukalia kimya wito wa kuunganisha nguvu ya upinzani kisiasa na kiongozi mpya wa Chadema Taifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa October mwaka huu2025? Ni hisia za ulaghai na utapeli wa kisiasa dhidi ya mipango ya vyama vyao, na...
  10. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Chaumma inaweza kupata kura nyingi zaidi za urais kuliko chama kingine chochote cha upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

    Kasumba ya kushughulikiana na kukomoana hususan ndani ya vyama vya upinzani nchini itaendelea hadi kwenye sanduku la kura za jumla uchaguzi mkuu wa October 2025. Kuna wagombea watakomolewa na wafuasi wa vyama vyao, hawatapigiwa kura kwasasababu tu ya midomo yao, makelele yao, hila zao...
  11. Waufukweni

    Pre GE2025 ACT, CHADEMA, CHAUMMA, CUF na NCCR- Mageuzi kuungana kuikabili CCM

    Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kimeshafanya mazungumzo na vyama vingine vya upinzani kwa lengo la kuungana na kuikabili Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao. Kauli hiyo imetolewa Februari 9, 2025, na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, alipokuwa kwenye mkutano katika...
  12. S

    Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

    Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika...
  13. JOHNGERVAS

    Pre GE2025 Roma aeleza hisia zake Vyama vya Upinzani kuwatenga wasanii katika shughuli zao

    Mimi nikiona mtu analaumu wasanii kwenda kwenye events za CC EM kufanya show huwa namshangaa sana!!Wasanii ni wafanya biashara, wame invest kwenye hiyo biashara ya muziki na wanahitaji return…. Kama ambavyo wewe umewekeza kwenye biashara yako, huwezi kubali upate hasara!!Show moja ya CC EM...
  14. Mkalukungone mwamba

    Musiba: Vyama vya upinzani nchini si wa kweli na wanajihusisha moja kwa moja na CCM kwa lengo la kujinufaisha kifedha

    Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amedai kuwa viongozi wengi wa vyama vya upinzani nchini si wa kweli na wanatumia nafasi zao kama chanzo cha kipato badala ya kutetea maslahi ya wananchi. Akizungumza wakati wa mahojiano na Jambo TV, Musiba amesema vyama vya upinzani vimegeuka kuwa ajira kwa...
  15. DR HAYA LAND

    Viongonzi wa vyama vya upinzani mnafanya kazi nzuri ila kuna sehemu mnakwama kama sio kukosea.

    Happy new year . Leo napenda kutoa ushauri mdogo Kwa vyama vya siasa hasa Chadema ambao wamekuwa wakipambana na kujaribu kuingia madarakani. Katika siasa kinachohitajika zaidi sio Good plan pekee bali na good strategies . Mbinu nzuri na mipango mizuri , kila uchaguzi huwa nafatilia na...
  16. Manfried

    Tanzania hamna vyama vya upinzani , kijana usithubutu ! Ku-sacrifice maisha yako kisa siasa

    Nyote mmejionea kilichotokea leo kuwa siasa ni uongo . So usiandamane , usimwage damu na kutukana MTU kisa siasa.
  17. chakii

    Mbowe miongoni mwa wasaliti wa Vyama vya upinzani wa kweli kuwahi kutokea

    Wanaomfuatia ni pamoja na Lipumba. Subirini mtaona mengi.
  18. U

    Uzi maalumu wa kuweka nukuu za muhimu za kukumbukwa za Viongozi wakuu wa vyama vya upinzani hapa Afrika Mashariki

    Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Karibuni tupeane Raila Odinga: "Young people now begin the day checking the phone battery and data bundles. Something to wear, something to eat and a place to sleep come much later. Battery, bundles and the phone are the new basic needs"...
  19. Tlaatlaah

    Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

    Friends, ladies and gentlemen. Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu? Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa. Kitendo cha...
  20. Nehemia Kilave

    Pre GE2025 Kama sio Tundu Lissu ni Mwanasiasa yupi unadhani anaushawishi kuwakilisha Muungano wa Vyama vya Upinzani 2025?

    Uchaguzi umekaribia , ni vyema wagombea wa Upinzani wakawekwa wazi mapema watanzania tuwatathimini na kuwachambua. Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi, yupi unadhani pia anaushawishi?
Back
Top Bottom