vyombo vya dola tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Je, wananchi wanaimani kubwa na vyombo vya dola kama alivyo onyesha Rais?

    Rais ameonyesha imani kubwa kwa vyombo vya dola. Ameonyesha wanafanya kazi nzuri na kuwapa motisha wakujielimisha zaidi. Je, wananchi wanaimani na vyombo vya dola kama ilivyo kwake Rais? Soma Pia: Rais Samia aahidi kulipa ushirikiano Jeshi la polisi kutimiza majukumu yake
  2. K

    Mamlaka ya juu uufanyie kazi ushauri wa Mzee Butiku

    Leo tarehe 10.9.2024 Mzee Butiku amezungumza na Waandishi wa habari kuhusu sintofahamu zinazoendelea hapa nchini. Kwanza nikupongeze sana Mzee Butiku kwa busara, hekima zako kwa kuishauri Mamlaka kwa yanayoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu. Mzee ameshauri kwa Mamlaka ya juu ya nchi kuwa wale...
  3. G Jonathan Kamenge

    Kama Vyombo vya Dola vingekuwa vinazingatia Sheria na Mfumo wa Haki Jinai wasingekuwa wanahusishwa na matukio ya utekaji

    Mzee Butiku anasema IGP, Mkuu wa Usalama wa Taifa, na hata CDF "wasitwambie hawajui". Lakini huenda hawajui! Ingawa kama ni kweli kwamba hawajui, maana yake ni kwamba hali ya Usalama wa taifa letu ni mbaya kuliko wakati wowote ule katika historia yetu walau kwa kipindi cha miaka ishirini...
  4. I

    Yafuatayo yanapaswa kufanywa ili kuhakikisha Uwajibikaji kwa Vyombo vya Dola

    Ili kuhakikisha kuwa na maafisa wa vyombo vya dola wenye maadili mema na uwajibikaji, yafuatayo yanaweza kufanywa: 1. Kuimarisha Uchaguzi na Udahili: Mchakato wa kuchagua na kudahili maafisa wa vyombo vya dola unapaswa kuwa mkali na wa uwazi, ukizingatia zaidi maadili, tabia, na historia ya...
Back
Top Bottom