waasi

Rusagonis-Waasis (2001 population: 748) is a Canadian local service district in Lincoln Parish, Sunbury County, New Brunswick, which bears the name of two communities within the local service district, Rusagonis and Waasis. Early references use an alternative spelling, Rusagornis, for the community today known as Rusagonis. Some residents advocated changing the governing structure from a local service district into a rural community.It is located 15 kilometres southeast of Fredericton, and is near Tracy. It is west-southwest of Oromocto. It formerly had at least two railway stations (flag stops) served by the Canadian Pacific Railway.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Video: Baada ya Assad kukimbia nchi, waasi watua kwenye kasri lake la kifahari na kuanza kusheherekea

    Wakuu, Muda mfupi baada ya kuthibitisha kuwa waasi wamemtoa Assad madarakani na Rais huyu kukimbia nchi, video za waasi wakiwa ndani ya kasri lake zimeanza kuibuka. Huyu jamaa alikuwa anakula maisha kweli kweli na pengine ndo maana walikuwa wanataka kumtoa. Video hizi zinasambaa sana X...
  2. econonist

    Mji wa Homs wachukuliwa na waasi wanajeshi wa Assad wajisalimisha

    Siku ya Leo muda sio mrefu, waasi wa HTS wamefanikiwa kuiteka mji wa Homs ikiwa ni baada ya Jana kuuchuka mji wa Hama. Kwa Sasa kazi iliyobakia ni kuchukua mji wa Damascus.
  3. Yoda

    Vita vya Syria vina mchanganyiko sana, ila dikteta Assad ni uovu wenye afadhali (lesser evil) kuliko waasi Wanajihadi

    Ukiangalia kwa undani makundi ya waasi yanayopigana dhidi ya utawala wa dikteta Bashir Al-Assad nchini Syria hayatoi matumaini mema kwamba endapo yatafanikiwa kumng'oa Assad siku za usoni za Syria zitakuwa njema chini ya utawala wao mpya, makundi yanayompinga Assad ukiondoa Wakurdi nusu yake ni...
  4. Mtu Asiyejulikana

    Yanayojiri: Vita ya Syria na Waasi

    Jeshi la Syria limetangaza hatua ya "kuondoa majeshi kwa muda" katika mji wa kaskazini-magharibi wa Aleppo, ambako makundi ya waasi yalizindua shambulio la ghafla dhidi ya maeneo yanayoshikiliwa na serikali kwa mara ya kwanza katika miaka mingi. Jeshi lilisema Jumamosi kuwa makumi ya wanajeshi...
  5. W

    Tetesi: Upo iwezekano kundi la waasi huko Urus kuungana na Jesho la Ukraine

    Habari ndiyo hiyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Putin ameshakalia kuti kavu. Yajayo yanafurahisha.
  6. Gemini AI

    Rais Tshisekedi adai Ruto amevuruga mazungumzo ya Amani kati ya Serikali na Waasi

    Rais Felix Tshisekedi amesema Rais wa Kenya, William Ruto amevuruga mazungumzo ya amani yaliyoanzishwa na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kati ya Serikali ya DRC na Makundi ya Waasi. Akizungumza katika mjadala wa hali ya DRC ulioandaliwa na Brookings Africa Security Initiative na Africa Growth...
  7. A

    Wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo

    UN: Vikosi vya Rwanda vyasaidiana na M23 kupigana Kongo Ripoti moja ya wataalam wa Umoja wa Mataifa iliyoonekana na shirika la habari la Ufaransa AFP inasema, kati ya wanajeshi 3000 hadi 4000 wa Rwanda wanashirikiana na waasi wa M23 katika mapigano mashariki mwa Kongo. Ripoti hiyo inasema...
  8. L

    Viongozi wa Simba mmetufanya wengi tuwe Waasi dhidi ya timu yetu

    Sisi Simba ni timu ya mioyo yetu, hatufaidiki wala kunufaika na chochote zaidi ya furaha, watu wanasafiri kutoka Bukoba, Mbeya, Kigoma wengine wanatumia baiskeli kuja kuwasapoti nyie viongozi na timu kwa ujumla. Miaka ya hivi karibuni ilikuwa nadra sana kusikia Simba ikizozana na mashabiki...
  9. M

    Kwanini Wahalifu wengine waitwe Magaidi na wengine waitwe Waasi?

    Dunia na Mikanganyiko yake! Hayo makundi yote yanafanya uhalifu sawa sawa katika nchi zao, makundi mengi hayazitambui serikali za nchi zao. Nini sababu kubwa ya makundi hayo kwenye nchi za waislamu kuitwa magaidi na sheria kali kutungwa dhidi yao, kwa mfano Somalia, Yemen, CAR, Mali na...
  10. Mhaya

    Kisa cha mfalme Nimrod, Malaika waasi na Majitu makubwa

    Malaika aitwaye Makerubi alikuwa na kazi ya kumsifu Mungu Mbinguni, sifa kubwa ya malaika hawa huwa na mbawa sita ambazo mbili zina uwezo wa kumfunika mwili mzima. Kwa nini Mungu aliwaumba? Mungu aliwaumba kwa sababu alitaka kusifiwa milele. Mungu anapenda kuabudiwa na humbariki mtu anayefanya...
  11. BARD AI

    BBC imeripoti Magari ya jeshi la Tanzania yameshambuliwa na Waasi wa DR Congo

    Magari mawili ya kijeshi ya Tanzania yamepigwa na makombora yaliyorushwa na waasi wa M23 katika mji wa Sake nchini Kongo, walioshuhudia wameiambia BBC. Chanzo cha jeshi la Kongo na shahidi wa macho walisema shambulio hilo lilitokea siku ya Alhamisi, na kumwacha mwanajeshi mmoja wa Tanzania...
  12. JanguKamaJangu

    Afrika Kusini kupeleka wanajeshi 2,900 DRC kupambana na Waasi

    Afrika Kusini itatuma wanajeshi 2,900, kama sehemu ya mchango wake kwa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kinachotarajiwa kukabiliana na makundi yenye silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ofisi ya rais Cyril Ramaphosa, ilisema katika taarifa yake...
  13. Mto Songwe

    Ili kumaliza migogoro inayoendelea Congo, inabidi malalamiko yote ya waasi yasikilizwe

    Nachopendekeza katika migogoro inayo endelea Congo DR ni kuwa malalamiko yote ya makundi ya waasi yasikilizwe. Yale malalamiko yanayoweza kutatuliwa yatatuliwe yale yenye ugumu yaingiwe makubaliano ya pande mbili kufikia upatikanaji wa amani. Lazima malalamiko ya waasi wajulishwe Wacongo na...
  14. GENTAMYCINE

    Nilitahadharisha kuhusu CHADEMA na Wabunge 19 kuwa hukumu zitakuwa za kutatanisha

    Hivi ule Uzi wangu GENTAMYCINE niliouandika hapa JamiiForums mapema mwaka huu hamkuuelewa au ni Jeuri na Dharau zenu tu? Nilisema kuwa CHADEMA na Watu wengine acheni Kuhangaika na hii Kesi ya hawa Wabunge wenu Waasi 19 kwani hakuna ambacho Kitabadilika na wataendelea kuwa Wabunge hadi June...
  15. Mhaya

    Mali yafuta kabisa Sherehe za Uhuru

    Kila tarehe 22 ya Mwezi Septemba, nchi ya Mali inaadhimisha siku ya uhuru, ambapo kwa mwaka huu 2023, Kikosi tawala cha Mali, kimefutilia mbali sherehe zilizopangwa kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru huo, kufuatia kuongezeka kwa wasiwasi wa mashambulizi yaliyotokea Kaskazini mwa nchi hiyo. Nchi ya...
  16. ChoiceVariable

    Mtanzania Melchior Dominic Mahinini anayesomea ukasisi nchini Nigeria atekwa na waasi

    Kijana Mtanzania ametekwa huko Nigeria na watu wenye Silaha. Kijana huyu anayeitwa Melchior ni Mseminary aliyeenda Nigeria kwa ajili ya Mafunzo ya Upadri. Juzi Parokia ya Mt Luka aliyokuwa akiishi ilivamiwa akachukuliwa yeye na Padri Mwingine. ---- Mtanzania ambaye ni frateri wa Shirika a...
  17. HaMachiach

    Wajumbe waasi wa kamati ya utendaji taifa CWT wakimbilia Wizara ya Kazi

    Kama tulivyowaarifu jana tarehe 15 Juni 2023, kimeitishishwa kikao cha baraza la taifa cha dharura jijini Dodoma tarehe 18 Juni 2023 kati ya mengi ambayo yangejadiliwa ni pamoja na baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji wa taifa kuvunja katiba na kuvuruga uongozi na chama kwa ujumla. Naibu...
  18. MK254

    Waasi wa Urusi wateka wanajeshi Warusi, mambo yanaendela kutokota

    Wanajeshi wa Urusi wameanza kukamatwa mateka na waasi, supapawa hali tete. ======== Fighters opposed to the government in Moscow say they have have captured two Russian soldiers in Belgorod, near the border with Ukraine. Belgorod's top official said he had agreed to meet the men's captors if...
  19. MK254

    Video: Waasi wa Urusi waagiza raia waondoke Belgorod kwa sasa hadi mpambano uishe

    Hawa wazalendo wamedhamiria kuichukua nchi yao kutoka kwa Putin na wamefanya maandalizi makubwa sana ya kufika Moscow, wasichukuliwe poa..... Wapo radhi kujitoa mhanga na kufa kwa maelfu hadi taifa lao likombolewe.....
  20. MK254

    Video: Waasi wavamia tena Belgorod, Urusi, wachoma majengo

    Hawa ni Warusi wanapiga kwao ndani, Putin alianzisha wenzake wanamaliza.... 30,290 views Jun 1, 2023 #belgorod #ukraine #russia Pro-Ukraine volunteer fighters set several buildings on fire as they shelled the border town of Shebekino using Soviet-era Grad rocket systems, it has been...
Back
Top Bottom