Huwa najiuliza, kama Taifa tuna nini akilini mwetu?
Haiingii akilini kuwakopesha zaidi ya milioni 13 vijana, tena kutoka familia masikini, ili wasome vyuoni halafu tushindwe kuzirejesha hizo hela.
Huwa nawaza, wahusika wanashindwa nini kutengeneza mfumo bora wa elimu?
Mfano, kujenga VETA...