Ukaguzi wa Hesabu kwenye Sekta ya Umma ni utaratibu wa kupitia usahihi wa taarifa za Mapato, Matumizi, mali, madeni pamoja na utendaji ili kubaini kama Sheria, Kanuni, Taratibu na thamani ya fedha zimezingatiwa
Ni muhimu kuelewa taarifa za ukaguzi ili kufahamu jinsi Rasilimali za Umma...