Salaam, Shalom.
Mara zote maishani, matatizo hufuatana, na Huwa hayatoi taarifa Wala kubisha hodi,
Jana, wamepatikana mateka wanne waliotekwa miezi kadhaa iliyopita katika Shambulio na uvamizi wa ugaidi uliofanyika Israel October 2023. Binti mmoja aliyerekodiwa aliyekuwa kwenye tamasha Hilo...