wake za watu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N'yadikwa

    Wake za watu baadhi mchana wanagawa sana

    Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa kweli nimesikitika sana. Kwa kweli wake zetu tukiwa nao mbali sijui huwa wanafanya nini. Hivi hakuna...
  2. mr pipa

    Wake za watu muwe na misimamo basi

    Miezi miwili iliopita nikawa nimeamia nyumba moja hivi Kwenye hiyo nyumba nikamkuta binti mmoja hivi sikujua kama ana mume Kwa maana katika mazoea na kukaa hapo kwa wiki moja sikuwahi kuona kuna dalili ya kuwa na mume Imepita wiki akaja jamaa yake ile usiku nakuta tu migunoo oohh shiiish...
  3. ashomile

    Kuna mke wa mtu nilianza kama utani ila nimemkaribisha kwa siku moja nyumbani kwangu siku hiyo hiyo nimemtamkia ndo nikaanza nakumtafuna

    Nimeleta mada kwenu tajwa hapo juu. Katika harakati zangu za mizunguko ya hapa na pale , nimejikuta naanzisha mazoea na mke wa mtu ,mwisho wa siku nikamkaribisha kwangu kwa bahati nzuri akaniambia anakuja ile alivyokuja nikamtamkia nampenda ila alichonisihi akaomba iwe siri yangu mimi na yeye...
  4. Expensive life

    Vikoba, upatu, vyanzo vya wake za watu wengi kuchepuka

    Wakuu, kama kama mkeo anacheza upatu, vikoba etc. Ana you asilimia kubwa sana za kuchepuka. Kibaya zaidi hawa wake zetu wanacheza hii michezo kwa siri. Unakuta mkeo ana mchezo wa buku kwa siku, elfu kumi kila ijumaa, ana mchezo wa elfu 10 kwa mwezi wapo 50, laki mbili kwa mwezi wapo kumi. Ana...
  5. Yoda

    Wanaume dhaifu ndio wapiga kelele wakubwa wa wanaume kutotembea na wake za watu

    Kelele kubwa inayopigwa na wanaume wa Tanzania kukatisha tamaa wanaume kutembea na wake za watu inatokana na inferiority complex(hali ya kujihisi duni). Hakuna mwanaume anayejiamini atakaa anafikiria mke wake au wake za watu kutoka na wanaume nje ya ndoa. Kauli za "mke wa mtu ni sumu" ni kauli...
  6. Cute Wife

    LGE2024 Kasesela: Mkishinda Uchaguzi msitamani wake za watu

    Wakuu, Wenyeviti na wagombea wa nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini wametakiwa kuacha tabia zisizofaa ikiwemo ulevi, tamaa za wake za watu na matumizi mabaya ya madaraka baada ya kupata ridhaa. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa...
  7. Waufukweni

    Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono. Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi...
  8. Chief Kumbyambya

    Siamini Baltasar Engonga alikuwa na hela za kuwarubuni wake za watu wazito waliohusika kwenye sakata hili. Tatizo ni wanawake wenyewe

    List ya wanawake anaotajwa kuwashughulikia Baltasar Mwaegonga ni kama ifuatavyo: 1. Wake wa mawaziri 20, 2. Mke wa mchungaji kanisa anakosali 3. Mtoto wa mdogo wake rais wa nchi 4. Mke wa mjomba wake mjamzito 5. Mke wa mkuu wa polisi 6. Mke wa mkuu wa idara ya usalama wa rais 7. Wake wa maafisa...
  9. Eli Cohen

    Sawa mnapoamua kukataa ndoa na ku-embrace u-bachelor basi msianze tena kusumbua wake za watu bakieni na mishenitauni wenzenu

    Sera ya kukataa ndoa isibakie kwenu tu ila pia mkatae na ndoa za wengine ili msiziingilie. Tofauti na hapo mnakuwa tu kama kikundi cha vijana matapeli mjini. Maana kutokana na historia ya matukio kitakachofata kwenu mara nyingi ni death, ulemavu au kuziburia choo (something you really dont...
  10. Pdidy

    Jinsi wanawake wanavyoshikwa shikwa kwa jina la mazoezi huku beach sitaki tena kuoa

    Yaani unaweza hisi wanatengenezq moviee aisee Niko beach moja nimekuja mazoezi naangalia mabinti na wake za watu wanavyochanuliwa maapaja yao ati mazoezi Aisee nisisikie mke wangu amekwenda beach mazoezi kha Yaana jamaa wanagusa mapaja ya wake zatu wanavyotaka Nahisi wengine wana piz kabisa...
  11. G

    kadri umri unavyozi kuenda utachepuka na wake za watu. Ni ngumu kuwa 40+ na kuchepuka na vibinti vyenye 20s na wengi wenye 30+ ni wake za watu

    Ni kawaida kwa kijana mwenye 20s hadi 30s kuchepuka na mabinti wenye 20s, hata wakiwa out watu huwachukulia kawaida, gepu la rika halistui. Ishu inaanza ukifika 40+, wanawake ambao ni feasible kuwa approach ni wale kwenye 30s na ratio yao kubwa ni wake za watu aidha wapo kwenye ndoa active ama...
  12. malikia balqiis

    Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

    Jaman, baadhi ya wanawake walioolewa wanajisahau sana. Unakuta mchafu, ananuka jasho, haogi kwa wakati, hata kufua kwake ni mtihani. Kuna hawa wake za watu walioajiriwa, jamani, hata kama mmeajiriwa, jitahidini kuwajali waume zenu. Wanatoka home rafu sana. Kuna mkaka namjua ameoa, na ndoa yake...
  13. Pang Fung Mi

    Mikoa inayoongoza kwa wake za watu kijitegeza vibarazani na kwenda kuoga kwa kijola au kanga moko

    Shalom, Katika pitapita zangu kwenye baadhi ya mikoa na wilaya zake hapa Tanzania kuna mikoa ni kiboko kwa wake za watu kijitegeza vibarazani na nyakati za kwenda kuoga kwa kuvaa kijola laini au kanga moko na kuacha chuchu au maziwa yakidamshi. Eeh bana wewe kuna wake za watu wako vizuri kwa...
  14. Pdidy

    WAke za watu acheni kujipendekeza kwa wachungaji na manabii na mitume wana wake zao pia

    WATUMISHI WA MUNGU ACHENI HUU UPUMBAVU NA UKENGEUFU!🔥🔥🔥 Mitume,manabii,wachungaji hili linawahusu.Mnakosea sana kuwatumia wanawake vibaya kinyume na maandiko. Nabii Musa pamoja na miujiza yote aliyojaaliwa,alikuwa na mtumishi mmoja tu tena kijana wakiume,yaani Joshua.Nabii Eliya naye...
  15. ndege JOHN

    Kijijini watu ni wakatili chunga sana wake za watu

    Usije ukaenda kijijini ukapata mwanamke kumbe ni mke wa mtu. Watu wa kijijini sio wastaarabu ndugu zangu watakuangalia wanakusomea nyendo zako usije kushangaa unatenganishwa kichwa kama kumbikumbi. Chunga sana unapoenda vijijini usijione wa mjini ukadhani wanawake watakaokushobokea ni kutaka...
  16. VINICIOUS JR

    Hivi baadhi ya wake za watu wana shida gani?

    Kwema wakuu, Kama mada inavojieleza. Wakuu kuna mke wa jiran yangu nashindwa kumuelewa, alisafiri miezi miwili iliyopita sasa karudi kama siku tatu zilizopita sasa kanivizia nipo peke yangu anaanza kunilaumu nina roho mbaya toka amerudi sijaenda kumuona mara nimnunulie soda wakati mim ni...
  17. Expensive life

    Mnaoruka na wake za watu / waume za watu huwa hamuoni kinyaa?

    Unajua kabisa kuwa yelu ni mke/ mume na fulani na wewe unakwenda kuingiza au kuingizwa humo humo, midomo aliyeinyonya yule na wewe unakwenda kuinyonya hiyo hiyo .assshh kinyaaa, ni sawa na kula mnyama ambaye amekufa kibudu. Bora uwe hauji mahusiano aliyonayo yaani unajua kabisa usiku kucha...
  18. Loading failed

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    Salamu ndugu zangu Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby...
  19. Mtu Asiyejulikana

    Nimegundua hili kuhusu wake za watu. Inaweza kukatisha tamaa kuoa

    Kwa uzoefu wangu mdogo tu katika mahusiano kwa umri wangu mdogo wa miaka 50+ kuna mambo ambayo nimeyagundua ambayo huwa yananifikirisha sana. Shughuli zangu za kikazi hunifanya nisafiri kuhama hama kila wakati. Ingawa familia ilisha settle Dar. Mimi huwa nasafiri sana ndani na nje ya nchi. Mara...
  20. Mi bishoo tu

    Nimeamini wake za watu wanaliwa sana misibani. Amini hili kwa 100%

    Nipo wilaya ya kazi, Bunda mkoani Mara. Majuzi nilihudhuria mazishi ya Mzee mmoja maarufu. Sasa tukiwa msibani kuna dada mmoja msukuma mweupe kapanda hewani na tako hilo. Katika harakati zangu nikafanikiwa kupata namba zake ambapo alinieleza kaolewa mkoa jirani na alikuwa kapewa ruhusa na mmewe...
Back
Top Bottom