Heshima sana wanajamvi,
Inafahamika Jumanne yatakuwepo maandamano hapa Jijini Arusha.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha imekuwa katika harakati kubwa za kutaka kuyazuia maandamano hayo kwa kutumia njia haramu na zinazo kiuka misingi ya katiba yetu yenye mapungufu mengi.
Mosi kamtumia mwenyekiti...