Ndugu zangu wanaJF,
Kuna kitu nakiona si kizuri hata kidogo, Hivi ni kwanini hiki cheo au nafasi hii ya utendaji ambayo kimsingi ni ya kiongozi wa ulinzi na usalama wa wilaya inashushwa hadhi kiasi hili, kwa sasa ni ukweli usiopingika ni kwamba vijana wengi wanaililia hii nafasi wakidhani ni...