waliowahi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Orodha ya watu waliowahi kwenda Mbinguni na kisha wakurudi

    Ndugu zangu Wakristo wamepata neema ya kipekee ambayo ndugu zangu Waislam hawajawahi kuipata. Neema hiyo si nyingine ila ni ile ya watu kwenda mbinguni kisha kurudi. Sijawahi kusikia Sheikh, Imam wala Maalim akijinadi kuwa ameshawahi kwenda mbinguni na kisha kurudi tena. Haya mambo ya watu...
  2. Sauti ya amani

    Namna ya kutuma maombi ya ajira TAMISEMI kwa waombaji wapya na wale waliowahi kuomba

    Wakuu napenda kuomba msaaada namna ya kutuma haya maombi ya ajira mpya ,je anwani za barua ni zipi?na kwa walioomba awali wanatumia mfumo upi asnth
  3. benzemah

    Ujio wa Kamala Tanzania na viongozi wengine wa Marekani waliowahi kufika Tanzania

    Hii ni orodha fupi ya baadhi ya viongozi wa Marekani ambao wamewahi kutembelea Tanzania kwa nyakati mbalimbalu. 1. Rais Barack Obama: Aliitembelea Tanzania mwaka 2013 akiwa madarakani na kukutana na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete 2. Rais Bill Clinton...
  4. Kabende Msakila

    Jimbo la Buyungu - Kauli Tata za Waliowahi Kuwa Wabunge

    WanaJf, Salaam! Naenda moja kwa moja kwenye agenda. (a). 1995 Mbunge wa wakati huo RUHINDA alinukuliwa akisema "Hata mkininyima kura sitavaa kobazi." (b). 2000 - 2005 mbunge Magayane akanukuliwa akiwaambia wapigakura kuwa "nyani hali kilichopikwa." (c). 2020 - Mbunge amenukuliwa akisema kuwa...
  5. NetMaster

    Tukiachana na wachezaji Kapombe na Mwenda kupigana na kupangua vipapai, ni wachezaji gani wengine waliowahi kuhusika katika mazingira haya ?

    Ni uzi maalum kwa kumbukumbu Kwa vile sayansi haithibitishi kila kitu ikiwemo uchawi inakuwa ngumu kupata ushahidi ila wataalam wa mambo wanakwambia kwamba haya mambo ya kupigana vipapai yapo katika soka la bongo. Hadi sasa tumeweza shuhudia wachezaji hawa wawili Mwenda na Kapombe wakihusishwa...
  6. ESCORT 1

    Rekodi mbalimbali za Mawaziri Wakuu wa Tanzania

    Leo tujikumbushe kwenye historia ya nchi yetu tangu tulipoungana na wenzetu wa Zanzibar mwaka 1964. 1. Ni watu wawili tu wamewahi kushika madaraka hayo zaidi ya mara moja ambao ni Edward Sokoine na Cleopa Msuya Edward Sokoine akishika madaraka hayo mwaka 1977 mpaka 1980. Kwa mara pili...
  7. Teko Modise

    Tukumbushane wanamuziki, wapiga magita, vinanda nk waliowahi kufanya kazi Twanga Pepeta Band

    Mimi naanza na Jenerali Banza Stone a.k.a Mwalimu wa Waalimu, karibuni na nyie muendelee...
  8. Christopher Wallace

    Wachezaji wa Kusini mwa Africa waliowahi kucheza soka Tanzania

    Leo, tuwakumbuke wachezaji kutoka kusini mwa Afrika waliowahi kucheza soka hapa Tanzania, nikianza na Wisdom Ndlovu kutoka Malawi, huyu alicheza Yanga. Unamkumbuka yupi? Endeleaa..
  9. mugah di matheo

    Wachezaji waliowahi kurudi katika timu zao za awali na Performance zao

    Waliofanikiwa zaidi Fernando Tores -ATM Okwi. -Simba Ngassa -Yanga Yanick Carasco -ATM philipe Luis-ATM Juma kaseja -Simba Alvaro Morata-ATM Lukaku-Chelsea Tevez -Bocca jr Ibrahimovic -Ac millan H.Dilunga-Ruvushooting S.Dilunga-Ruvushooting Kapombe-Simba Mwinyi kazimoto-Jkt Tanzania Hasan...
  10. Zero Competition

    Msaada kwa waliowahi kujaza fomu ya mapunjo NSSF

    Habari zenu, Nimesikia kwamba inapotokea mwajiri wako hajamaliza kuweka michango yako yote lakini kutokana na shida zako ukaamua kuchukua kwanza michango iliyopo halafu muajiri wako akimaliza kupeleka michango iliyobaki kuna fomu unatakiwa ujaze inayoutwa "fomu ya mapunjo" ili uweze kulipwa...
  11. britanicca

    Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    Binadamu katika mazingira mbali mbali, hukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa. Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya. Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri. Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya. Kuna waliowahi kushuhudia...
Back
Top Bottom