Nikiwa nimehathiwa historia ya uhuru na kusoma historia zilizonadikwa kuhusu uhuru wa Afrika, niligundua kuwa mipango ya kuwapatia uhuru wa’frika ilitibuliwa na watu walioitwa baadaye wapigania uhuru.
Suala la kutoa uhuru lilianza kwa wazungu wenyewe na mikakati ya namna ya kutoa uhuru...