Mikoa mingi ya pembezoni Ina ushindani wa kampuni za mabus mfano mkoa wa Kagera ambao ni mbali zaidi ya mkoa wa Ruvuma kutokea Dar ila kampuni kama Aboods, Frester, Happy Nation, Friends, city boy wote Wana route huko.
Mkoa wa Ruvuma makampuni ya mabus ni mawili Superfeo na Newforce but...