wanachama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    #COVID19 IMF kutoa dola bilioni 650 kwa wanachama wake kupambana na Covid-19

    Mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) Kristalina Georgieva, amesema watatoa kiasi cha dola bilioni 650 kwa wanachama wake kupitia mpango mpya maalumu utakaosaidia juhudi za ulimwengu za kupambana na janga la Covid-19. . IMF pia itatoa fedha za ziada kwa ajili ya uchumi wa dunia, kuongeza...
  2. S

    IGP wa Zambia aliwaonya wapinzani kuhusu kuandamana mwaka 2019, leo kiongozi wao ni Rais Mteule

    IGP wa Polisi Nchini Zambia Afande Kakoma Kanganja (Pichani) tarehe 25.11-2019 aliwaonya wanachama wa Chama cha Upinzani nchini Zambia( UPND) kuwa Wakijaribu Kuandamana polisi wake WATAWAKUNG'UTA sawasawa pamoja na kiongozi wao Hakainde Hichilema ambae rasmi ni Rais Mteule Zambia. HII IMEKAAJE SASA
  3. Determinantor

    Updates: Kukamatwa kwa Wanachama wa CHADEMA Kanisani Mwanza

    Wakuu, nimepata hii updates ila kwa kweli hata kama Polisi wetu wanatumwa basi at least watumie hata akili. Why wanalazimisha kujenga chuki isiyomithilika kwenye jamii?? Was it necessary? Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na baadhi ya Askari Wanyama pori wanaozea gerezani kwa kufanya...
  4. S

    CCM ina wanachama wengi sana kupita maelezo

    Ni kweli CCM ilikuwa na wanachama wengi kupita maelezo na kwa sasa kusema kweli imepoteza nguvu na wanachama waliobaki ni waganga njaa ,sio wenye imani kama ilivyozoeleka, Leo hii CCM imefikia kutegemea Tume ya Uchaguzi ambayo ni lazime iwe inatokana na wao kwa maana isiwe Tume huru, wanajua...
  5. BAK

    Kuna tofauti kati ya wafuasi na wanachama

    WAFUASI na WANACHAMA ..POLISI WANAFANYA KAZI NZURI Kuna tofauti kati ya wafuasi na wanachama. Bwana Yesu alikuwa na wafuasi (disciples). Kanisa lina wanachama (members) na wafuasi wachache. Kazi ya Kanisa ni kubadilisha wanachama kuwa wafuasi. Kazi ya shetani ni kubadilisha wafuasi kuwa...
  6. Nyendo

    Mbeya: Polisi wadaiwa kuwakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30

    Polisi Jijini Mbeya imewakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30 usiku huu. Waliokamatwa ni Pamoja na -Joseph Mbilinyi (Sugu) -Emmanuel Masonga (Katibu wa Kanda ya Nyasa) -Paschal Haonga( Alikuwa Mbunge wa Mbozi) na Viongozi na wanachadema wengine wengi.
  7. Erythrocyte

    Pamoja na wanayotendewa, wanachama waendelea kujisajili kupitia Chadema Digital

    Huu ni mkusanyiko wa wananchi wa kata ya Utengule huko Mlimba wakisubiri kusajiliwa kwa njia ya kisasa ya Chadema digital. Tunawasisitiza waratibu wa mambo haya kuhakikisha tahadhari dhidi ya corona inachukuliwa ili kulinda afya za wanachama wetu, ni muhimu sana kuchukua tahadhari hiyo hasa...
  8. peno hasegawa

    Tetesi: Ni nini faida za CWT Kwa wanachama wake ambao ni walimu

    Kama Uzi unavyojieleza. Chama Cha walimu Tanzania (CWT), kimeanzishwa zaidi ya miaka 40 iliyopita. Ninaomba wanachama wa CWT waeleze faida za CWT Kwa wanachama wao ambao ni walimu Pili ninaomba kujua asilimia 2% inayokatwa kutoka Kwa mwalimu ambaye ni mwanachama zinamfaidisha nini mwalimu...
  9. Stephano Mgendanyi

    Tambua kwamba: Ahadi za wanaChama Wa Chama Cha Mapinduzi

    TAMBUA KWAMBA:- 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰 AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (1) Binadamu wote ndugu zangu na Afrika ni Moja. (2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote. (3) Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma. (4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa...
  10. T 2021 SSH

    Sijui kwa nini bado CHAPUTA inaendelea kupata wanachama wapya?

    Wakuu siku hizi nyapu zimekuwa rahisi sana, sio pisi kali za kitaa ama zile zinazofanya biashara Waliopo kwenye mji mikubwa ukiwa na buku jero unapata nyapu faster, kiufupi sisi tulioanza kula nyapu zamani kidogo, tunaona kabisa siku hizi nyapu zimezagaa, miaka ile kumfukuzia demu inaweza...
  11. P

    Kivuli cha wanachama fulani hata kama wako sawa kinaharibu kupata katiba. Warioba anatosha

    Kwa mda mrefu mjadala wa katiba mpya umekuwa ukitumia pesa nyingi lakini masilahi ya vyama badala ya utaifa kwanza umekuwa kikwazo kupata katiba mpya. Yupo mzalendo Warioba ambaye akiongezewa wajumbe 19 nayeye wawe 20 tutapata katiba mpya isiyo na mvutano. Kwanza tutakuwa tumeokoa fedha nyingi...
  12. B

    Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni

    Mabibi na mabwana kumekuwa na kasumba ya kuwafungamanisha wajumbe mitandaoni na vyama vya siasa labda kulingana na maudhui ya mabandiko yao. Dhana hii kwa hakika ni potofu sana, hasa pale wajumbe husika wanapokuwa hawajijitanabaisha hivyo wazi wazi na kwa IDs zilizokuwa verified. Itoshe kusema...
  13. N'yadikwa

    FAIDA ZA EAC: Tanzania tunapokea wafanyakazi & wanafunzi wengi zaidi kutoka nchi wanachama kuliko nchi nyingine

    Niko napitia gazeti la The East African hapa ukurasa wa tatu wanasema Tanzania tunaomgoza kwa kuwakaribisha watu wa nchi wanachama kuja nchini mwetu KUISHI na KUFANYA KAZI. Kwa ufupi ni kwamba Tanzania tunaongoza kutoa vibali vya kazi na makazi katika EAC. Kenya wanafuatia wa tatu ni Burundi...
  14. Erythrocyte

    Chadema yaanzisha Program ya Mafunzo kwa Wanachama wake

    Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa...
  15. T

    Kwanini Operesheni Haki ya CHADEMA haivuni wanachama toka vyama vingine walionyimwa haki?

    Kihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine. Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi? Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya...
Back
Top Bottom