Nawasalimu wakuu wote.
Mara nyingi nimekua nikiona watu wenye matatizo ya akili vichaa vyao hupanda zaidi wakati wa mwezi mchanga. Nimekua nikifanya pia hata uchunguzi kwa watoto wadogo kuna kitu wanaita mchango hua unawapata zaidi wakati wa mwezi mchanga.
Pia wakati huo hata kwa watu wengi...
Kuna Mambo mawili unayotakiwa kuyajua rushwa, ma drugs na mabiashara yote haramu yanaendeshwa na watu kuuza mpaka viungo na mauaji yote anayofanya ni mwanadamu. Lengo kubwa ni watu Wapate karatasi inayoitwa hela hivyo unajikuta umetumbukia pabaya. Tunalishwa sumu, makapi, vitu vilivyo expire...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.