Ni dhahiri kuwa maswali haya yanazidi kuongezeka miongoni mwa wananchi wengi, hasa wanapoona juhudi zao za kuboresha barabara zikivurugwa kwa namna isiyokubalika. Mfano halisi ni kilichotokea jana katika Kata ya Buyuni, Mtaa wa Nyeburu, ambapo TARURA ilikuja na tingatinga lao, wakakwangua...