wanaojiita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mmawia

    Mzee Warioba: Siyo lazima Mbunge aitwe Mheshimiwa

    Mzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri, mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania. Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia...
  2. L

    Kijana aliyeuawa na watu wanaojiita Sungu sungu Mburahati, Rais Samia ingilia kati

    Mheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, sisi wanawake tuna imani sana na wewe, tutakupa kura zetu zote za urais mwaka 2025 ila kuna mambo machafu sana yanayofanyika katika serikali yako. Sisi wanawake wa Tanzania tumesikitishwa sana na mauaji ya kijana mdogo mkazi wa kata ya Mabibo kitongoji...
  3. Linguistic

    Watu wanaojiita maarufu wanalazimisha kuongea kingereza

    Mabibi na Mabwana, msikilizeni Mr. Uchebe X Wake Shilole akiongea Kingereza. Kwa nini wanapenda kuongea Lugha ambayo Hawaiwezi?
  4. chizcom

    Wanaojiita wasanii Tanzania hawana vipaji

    Kana huyu jamaa dullvani kwa mtindo huu basi kila mtu angeweza kuwa msanii. Watu wanajua sanaa ni kitu cha kawaida tu. Ndio maana sanaa ni kipaji na kwa sasa tanzania hawa wanajiita wasanii hawna vipaji. Kila siku kuteletea mambo ya ajabu. Kuna wale jana wa futui walikuwa wanatoa vichekesho...
Back
Top Bottom