Hospitali za Serikali Wanatoa Huduma Jumamosi kwa wagonjwa wa kawaida (OPD)?
Kama Jibu ni Ndio, Ratiba ikoje? yani kuanzia saa ngapi hadi ngapi?
Natanguliza shukran!
Wakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana.
Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh ngapi?
Hizi nyumba huwa zinanivutia sana hasa kwenye design yake ilivyo,imagine haka hapa kana...
NO 1013
ZANZIBAR
KANUNI ZA ULEVI LESENI YA ULEVI
DARAJA A-LESENI YA ULEVI WA KILA AINA (KANUNI YA 14)
ZANZIBAR
KANUNI ZA KILEVI
KIBALI CHA ULEVI
A. KIBALI KAMILI CHA DARAJA LA KWANZA
( SHERIA YA 14 )
HESLB ni wadhamini wa kipindi cha Powerbreakfast cha Clouds FM, swali ninalojiuliza hapa ni kwamba inakuwaje taasisi ya serikali ambayo ni non-profit institution inajigeuza kuwa profit-based institution?
Sielewi lengo lao la kujitangaza ni nini. Hawana ushindani wowote, hawana mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.