wanatoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kelela

    Hospitali za Serikali Wanatoa Huduma Jumamosi?

    Hospitali za Serikali Wanatoa Huduma Jumamosi kwa wagonjwa wa kawaida (OPD)? Kama Jibu ni Ndio, Ratiba ikoje? yani kuanzia saa ngapi hadi ngapi? Natanguliza shukran!
  2. Behaviourist

    Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa nyumba aina hii?

    Wakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana. Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh ngapi? Hizi nyumba huwa zinanivutia sana hasa kwenye design yake ilivyo,imagine haka hapa kana...
  3. Mshana Jr

    Zanzibar: Leseni ya ulevi daraja A

    NO 1013 ZANZIBAR KANUNI ZA ULEVI LESENI YA ULEVI DARAJA A-LESENI YA ULEVI WA KILA AINA (KANUNI YA 14) ZANZIBAR KANUNI ZA KILEVI KIBALI CHA ULEVI A. KIBALI KAMILI CHA DARAJA LA KWANZA ( SHERIA YA 14 )
  4. Kingsmann

    HESLB wanatoa wapi pesa za kudhamini vipindi vya redio?

    HESLB ni wadhamini wa kipindi cha Powerbreakfast cha Clouds FM, swali ninalojiuliza hapa ni kwamba inakuwaje taasisi ya serikali ambayo ni non-profit institution inajigeuza kuwa profit-based institution? Sielewi lengo lao la kujitangaza ni nini. Hawana ushindani wowote, hawana mtu...
Back
Top Bottom