Wangũ wa Makeri (c. 1856–1915 or 1936) was a Kikuyu tribal chief, known as a headman, during the British Colonial period in Kenya. She was the only female Kikuyu headman during the period, who later resigned following a scandal in which she engaged in a Kibata dance.
Ntawapa mbinu na elimu ya kuishi kwenye hii dunia ila vitu, Kama nyumba, kiwanja nk. hiyo hapana
Mimi Kama nitapata kwangu nitajenga nyumba yangu pembeni yenye chumba kimoja na sebule baaas.
Mambo ya kuteseka kisa watoto ambao washakuwa wakubwa sitaki, duniani nafasi ni moja tu, ukienda...
Habari za jioni wana JF. A true story inayohitaji msaada kutoka kwa rafiki yangu wa karibu, Yeye tayari ana mtoto wa miaka miwili lakini hayupo pamoja na Mama mtoto wake. Sasa yupo kwenye mahusiano ambayo conclusion yake ni Ndoa na ni ndani ya mwaka huu 2024.
Naomba tumshauri, anatakiwa afanye...
Ilikuwa miaka kama 6 hivi iliyopita, watumishi wa kada yetu tulikuwa wachache, muda wa kazi au masaa ya kazi kwa wiki au mwezi yalikuwa mengi zaidi ya yale masaa ya shirika la kazi duniani.
Hatukulipwa posho ya muda wa ziada (extra duty allowance).
Tulikuwa tunafanya kazi mpaka unahisi homa...
Nasikia kuna Mtu hatoamini leo na huenda Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi akasindikizwa na Wengi ama kutoka nchini Botswana au Tanzania. Tafadhali lielewe vizuri neno kuna Mtu hatoamini leo sawa?
Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka 😂😂😂😂
Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani
Sikiliza matumizi ya dola 1
Wasalaam,
Mida ya leo usiku nilipotoka job nikaamua kupita kumuona X wangu nyumbani kwao kwani alidai anaumwa na alikua nikidhani akintania ana mimba isiyo na baba 🙄
Aiseeh ile kufika kweli naona anabonge la tumbo nikashangaa, ila nikasema sio kesi kwakua si yangu ngoja nifike tuu kwao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.