wanyakyusa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Hivi Wanyakyusa na Wasukuma nani kawaambie Lugha zenu ni Dili?

    Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha...
  2. Idd Ninga

    Wanyakyusa na ujuzi wa Kuchunguza na kupasua maiti

    WANYAKYUSA NA UPASUAJI WA MAITI Afrika haikuwahi kuwa na wajinga kiasi hicho ndio maana watu walifuatwa kufanywa watumwa na kwenda kujenga Ulaya, ila ni lazima kuwalisha waafrika matango pori kwa sababu ya shida zao ili waamini kweli walikuwa wajinga. Hebu leo tutazame kabila la Wanyakyusa na...
  3. F

    Wachaga No.1, Wasambaa No.2, Wanyakyusa vuta mkia.

    Ukitaka kujenga kiwanda cha Pombe nenda Moshi, utaokoa gharama kubwa za usambazaji. Jafari Shekanabo Shekifu na Mrindoko Mchome Senkoro walijitolea kukusanya damu nchini kusaidia vitengo vya dharura vya taasisi za tiba. Kwenye fomu ya kuchukuwa taarifa za mchangiaji damu waliweka sehemu ya...
  4. Jidu La Mabambasi

    Wanyakyusa mmenishinda, mtoto kapatikana, Mwamala Mwatozo!

    Hata kabla Mwigulu Nchemba hajaachia ngazi Wizara ya Fedha, huko Mbeya , Mafiati Mwanjelwa tayari kuna jamaa kmwita mtoto wake mchanga jina la Mwamala Mwatozo. Nyie watani zangu mna mambo!
  5. masopakyindi

    Magufuli aliwachukia Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya kwa makusudi

    Hili lazima tuliseme maana nasi ni wananchi wa Tanzania. Magufuli aliendesha developmental genocide against mkabila hayo matatu, tena kwa makusudi. Aliamua kuwaajiri nakuteua kwa kuwaruka wenyeji wa mkabila hayo matatu. Kwa vile mchakato wake ulikuwa wa miaka zaidi ya mitano matokeo tunayaona...
  6. yuda75

    Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

    Habari wadau. Topic hapo juu inajieleza huwa najiuliza hili swali bila majibu coz wazazi wengi huishia kusema tuu nimesema usioe Mnyakyusa, Mhaya au Mchaga bila kutoa ufafanuzi. Kwanini? Hebu tujadiliane, kama unafahamu chochote kuhusu makatazo haya funguka hapa tafadhali
  7. 2019

    Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

    1. Wachagga: hivi kuna mchaga asiye kunywa pombe? Nahisi atakuwa anatumia dawa, ila hakuna asiejua wachaga kwenye utafutaji,akili na maendeleo pia. 2. Wanyakyusa: kwanza kabisa Mbeya hakujawahi kutokea njaa na mkoa wa Mbeya ukiacha kulima Tanzania kutakuwa na baa la njaa. Hawa watu wanapiga...
Back
Top Bottom