Suala la muungano wa tanganyika na zanzibar, liko wazi kuwa huu muuungano unafaida zaidi kwa wazanzibar na hasara kwa watanganyika.
Nivile ccm kumejaa waoga, wachumia tumbo na wanafiki, ila ukweli uko wazi tanganyika tunanyonywa sana na hichi kinchi cha visiwani, vijana wetu wakitanganyika...