WAKATI WATANZANIA MKSHANGAA VITUKO VYA JANA ISSUE IKO HIVI
KUNA BOI MEMBERS WAKO PALE WANASAPOTI SIMBA WAKIONGOZWA NA RAIS WA TFF KARIA
BAADA YAKUPITA WANAKOJUA SIMBA WAKADANGANYWA KESHO MKIINGIXA TIMU MNAKUFA SI CHINI YA TANO
WALICHOFANYA TFF NA WENXIE WA BODI WAKACHEXA DILI NA KAMISHNA...
"Naendelea kusisitiza sitaki makipa wa nje na wachezaji wa nje wapunguzwe kutoka 12 hadi wabakie 5. Kilichoitokea Kilimanjaro Stars kule Zanzibar ndio uhalisia wa soka letu".
JEMEDARI SAID, Mchambuzi CROWN FM
My intake:
Mbona ukiwaza nje ya box kama Kuna ukweli mkubwa
1. Itasaidia kuwapa...
Nimejikuta nazikumbuka sana monents za Fast Jet miaka ya 2010's
Ni kipindi nachoweza kusema nilitoa ushamba wa ndege, ndege ilikuwa kama basi la mkoani.
Ilikuwa ni mkombozi mkubwa sana kwa watu wenye uchumi wa kawaida.
Ndege zilikuwa zinajaa inabidi ukate ticket mapema,
Nilichokuwa...
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA
Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao...
Wadau hamjamboni nyote?
IDF itafanya shambulizi kubwa la ndege maeneo hayo
Wakazi wakae umbali mita 500
Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo na kiarabu
November 13, 2024
IDF issues evacuation warning for 6 Beirut buildings ahead of strikes against Hezbollah
By Emanuel Fabian Follow...
Hakuna uamuzi wa busara katika maisha yako kama kuwaruhusu wanaotaka kuondoka waondoke, hii itakupa machungu kwa muda fulani lakini baadae utapona.
Usianze kubembeleza na kusaga meno kwasababu tu mpendwa wako anataka kuondoka katika maisha yako, kumbuka sio kila mtu atakuwa na wewe daima katika...
Lebanon iliachia nchi yake itumike na magaidi wa kiislamu, sasa leo hii inapotaka kufanywa kama Gaza, waarabu wanaihama badala ya kubaki wapambane dhidi ya Israel.
==================
The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the...
Mfano mtu mlishatengana alafu UKa move on kuendelea na maisha lakini ukaanza Ku HEAL Ila sasa baada ya muda anakuwa anakutafuta tafuta utatumia mbinu gani ili aondoke kwenye maisha yako?
I will be short
These are the most useless individual in our football. i believe we could have been better than what we are today.
1. Ligi yetu ina panga matokeo kama ligi ya Kenya. Shame shame. Why only 3 teams. Why not favor all teams. Small teams more.
2. Time table aipo equal in all...
Katika hali ya Kushangaza raia wa Gaza kiukweli wamechoka walitarajia big result kutoka kwa Hamas ila matokeo yake wamejikuta walala nje na kulala njaa.. Sasa wanaandamana kila kona kuwasaka Hamas na wakiwaona ni kichapo tu.. Ismail Haniyah na Babu wao nywele mvi Sinwar Wanasema ni majizi tu sio...
Katiba ya Warioba ishakulinda wewe, ishakutoa kwenye lawama, kwamba wewe hulaumiwi na CCM sababu hii ni katiba waliyoitaka watanzania. Lakini, kwanini huwatakii mema wafaidika wa mwanzo wa Katiba hii, ndugu zako Wanzibari? Sisi ndio tutafaidika mwanzo sababu sisi tumefungwa jela, tumefungwa...
Habari wana jambi!
Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo.
Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine...
TANGAZO LA ISRAEL KUWATAKA WAPALESTINA WAONDOKE GAZA ILI WAIANGAMIZE NI TANGAZO HILOHILO LILILOTOLEWA NA MALAIKA SODOMA NA GOMORRAH. WALIOKAIDI WALIANGAMIZWA.
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Inaweza ikawa sio Haki au ikawa Haki. Hiyo ipo juu ya mtazamo wa kifikra za mtu husika. Ila...
Operesheni bado iko pale pale....
=======
The evacuation of residents from the Gaza border town of Sderot is set to begin in the coming hours.
The municipality emphasizes that evacuation is not mandatory, but that it recommends residents leave the area.
Residents are being moved to hotels in...
Umoja wa Mataifa (UN) umedai kuwa umejulishwa na Jeshi la Israel kuwa Wakazi wa Gaza Kaskazini wanatakiwa kuwa wameondoka eneo hilo ndani ya Saa 24.
UN imesema jambo hilo ni gumu kutekelezeka kwa kuwa idadi hiyo ni nusu ya watu wote waliopo Gaza.
Israel imekuwa ikijiandaa kwa mashambulizi ya...
Wakili Mwakabusi amekosoa hoja ya kusema kuwa bandarini kumetawaliwa na ufanisi mbovu ambayo imetumika kama sababu ya kuwapatia DPW kuiendesha. Mwakabusi amesema tuende kwa data kuhusu wizi unaotokea bandarini na kama kumeshakuwa na mjadala wa ripoti ya CAG kuhusu yanayoendelea bandarini...
Ukweli ni kwamba, nchi yetu ina watu masikini kiasi ambacho wengine ni huruma ukiwaona!
Wapo ambao, kula yao inategemea Jirani yake ama wapita njia, Mungu amewapa furaha ya aina gani siku hiyo ili tu kuwapa chochote kitu
Baadhi ya wabunge, wanatoka kwenye maeneo ambayo watu wake ni masikini...
Hawa wazalendo wamedhamiria kuichukua nchi yao kutoka kwa Putin na wamefanya maandalizi makubwa sana ya kufika Moscow, wasichukuliwe poa.....
Wapo radhi kujitoa mhanga na kufa kwa maelfu hadi taifa lao likombolewe.....
Baada ya kutafutwa Sheikh Alhad na kumweleza tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa kwake, ikiwemo kupendelewa na Mufti Zubeir kutokana na ukaribu wao wa kifamilia, kuingilia majukumu ya Baraza la Ulamaa ambapo alisema leo atalitolea ufafanuzi jambo lake.
“Leo nitazungumza pale Karimejee hall, karibu...