waondoke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pang Fung Mi

    Acha Baadhi ya Marafiki wako Waondoke Usiogope

    Haya maisha raha sana, mwaka huu baada ya kutembelea Tunduru miezi kadhaa ilopita, nikarudi town, punde baada ya kurejea sikupata simu, meseji, wala chats toka kwa baadhi ya marafiki wa karibu. Nilijiuliza sana sana niliona kama masihara vile, baada ya siku tatu Mama mchungaji Lt akanipigia...
  2. Suzy Elias

    China imewataka raia wake waondoke Ukraine haraka

    Mamlaka za China zimewataka raia wake waliopo nchini Ukraine kuondoka mara moja na Serikali itaratibu mpango huo.
  3. MK254

    Hatimaye Urusi yaamrisha wanajeshi wake waondoke eneo la mapampano kuepuka maafa zaidi

    Kuna namna Ukraine wameibuka kama ambao wamepagawa, fulu kujitoa mhanga aisei....mzuka hadi basi, hii imewashangaza Urusi mpaka wakapoteana, wakawa wanauawa kama nzige, imefikia hatua za kuagizwa wakimbie mapambano, wameacha silaha na kutoka nduki. Vijana wanakomboa ardhi yao, bendera yao...
  4. MK254

    Zelensky agomea ombi la Urusi la kusitisha vita, asema hadi Warusi waondoke Ukraine

    Urusi imemtuma rais wa Uturuki aongee na Zelensky watafute mbinu za kumaliza vita, hili limemshangaza sana maana siku zote ndilo lilikua ombi lake, hususan ile siku Urusi ilikua inajaribu kuparamia Kyev kabla kuangukia pua. Asema hadi Urusi iwaondoe wanajeshi wake, ni mwendo wa mapigo tu...
  5. OKW BOBAN SUNZU

    No Excuse: Try Again, Mangungu na Kocha waondoke Simba Sc

    Sina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga. Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani. Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia...
  6. John Haramba

    Ufaransa yawataka raia wake waondoke Urusi

    Serikali ya Ufaransa imewataka raia wake kuondoka Nchini Urusi kutokana na mashambulizi yakijeshi yanayoendelea kwa jeshi la taifa hilo dhidi ya Ukraine. Serikali za mataifa mengine nazo zimeshatoa tangazo la kuwaondoa raia wake nchini humo ikiwemo Uingereza kutokana na vikwazo ambavyo vimekuwa...
  7. Lord denning

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Amani iwe nanyi Kama kichwa cha uzi kinavyosema, Kama Mtanzania ninayeipenda nchi yangu, ninayejali maendeleo ya Watanzania wote vizazi na vizazi, leo nasema kwa Sauti moja, Kama tunajali maendeleo ya Tanzania yetu, Ni lazima wamasai waondoke Ngorongoro ili lile eneo liendelee kuwa na wanyama...
Back
Top Bottom