The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.
KWANI TULIKOSEA WAPI?
Katika kila kona ya mazungumzo, swali hili linaibuka: Kizazi cha zamani kilikosea wapi? Au ni kizazi cha sasa kinachopotea? Wazazi wetu, waliotangulia na kuishi kwa misingi ya maadili thabiti, wanawalaumu vijana wa leo kwa kupoteza mwelekeo. Wanadai kuwa kizazi cha sasa...
Kuna tatizo kubwa kwenye ubora wa elimu yetu, mimi siyo muandishi mzuri ila nimeona mfumo wetu wa elimu unajenga watu kukariri ili ufaulu mtihani na siyo kujifunza au kuelimisha
Hii imepelekea mashule yamejikita kufanya njia yoyote hata ya haramu ili mradi wanafunzi wao wapate ufaulu wa juu na...
Je Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
Katika eneo la Tegeta kwa Ndevu wahusika wanaosimamia suala la kuzoa taka wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe ambao wamekuwa wakiruhusu utokee kwa kubariki Wafanyabiashara wa soko lisilo rasmi lililopo pembezoni mwa Kituo cha Daladala kurundika uchafu kwenye eneo la barabara huku uchafu huo wakati...
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje..
Hii marafiki, juu hapo kuna kitangazo cha Buzz, miaka ya 2005/2006 kama sijasahau... mwanzoni iliitwa darchat kama...
System ya elimu ya hapa Tz inafanana karibu vyote Tanzania
Lecturers wengi wa vyuo vya Tanzania ni wahitimu UDSM
Walimu wengi hawaandai notes zao, wanatumia notes za mitandaoni kufundishia darasani.
Wanafunzi wengi wanasoma kwa kukariri sana kwasababu lugha ni changamoto
Jambo la kushangaza...
Kool & the Gang : "Let's Go Dancin' (Ooh La La La)"
Mimi niusikia kwa Mara ya kwanza Morogoro mwaka 1982/83 kwenye Bilibi Disco ambayo nadhani ilikuwa pia inamilikwa na Joseph Kusaga. Ulikuwa ikirudiwa rudiwa sana kwa vile wat waliupenda sana
https://www.youtube.com/watch?v=JWuoGZAz94c
Tangu nitumie mitungi ya gesi sijawahi ona expire date kwenye mitungi hiyo je nani anawajibika ?
Nimeona mtu kaandika huko Instagram hivi
Hapa alimaanisha mitungi sio majiko na kama ni hivyo haya majiko yana exipiredate wapi.
Sababu kinacho lipuka ni mitungi wenye gas, nadhani labda mipira...
Salaam, shalom!!
Kwa Hali ilivyo ya UOVU katika miji Mikubwa duniani , na UOVU unaofanyika katika Kijiji kile mlimani ndani ya Jiji la Los Angeles na UOVU uliofanyika miji ya sodoma na gomora enzi zile Pana tofauti?
Moto unaendelea kuchoma mji Ule , haujulikani chanzo chake Hadi sasa...
Kwa miezi kadhaa sasa Site za Dramacool hazipatikani. tafadhali wadau nipeni chimbo jingine la kudownload series za kikorea kwa wepesi kama ilivyokuwa Dramacool.
Ahsanteni....🙏🙏
Ninahitaji custom Pc ikiwezekana ziwe za mtumba
Ninahitaji kichwa cha custom cpu, Monitor ipo ya kawaida.
Budget niliyonayo ni laki 8 hadi milioni 1
Matumizi ni ku edit video pamoja na kuchezea games zifuatazo
Euro Truck Simulator 2
MINIMUM:
OS: Windows 10 64-bit
Processor: Intel Core...
Wakuu heshima kwenu.
Nina vitabu vyangu nahitaji kuviprint. Tafadhali mwenye kujua kampuni nzuri au mtu mzuri kwa hapa Dar Es Salaam ninayeweza kufanya naye kazi haraka anipe muongozo tafadhali.
Nahitaji wachapishaji wazuri wenye gharama wezeshi(affordable) na wenye kukamilisha kazi kwa...
Nimekuwa shocked na maelezo ya Mbowe yakionyesha kumbe kwa muda mrefu amejua watekaji na wauaji ni nani, kwamba kilikuwa kikosi maalumu kilichoundwa na serikali kwa madhumuni ya "amani na usalama", kikijumuisha Polisi, TISS na JWTZ. Na hata ameeleza kwamba baadae JWTZ walichukua uamuzi wa...
Amani kwenu
Salamaleko
Yule mhubiri wa kiislamu kaishia wapi
Mbona simsikii je kwa mkapa alieenda?
Na walihudhulia watu wangapi
Mbona hatupean update
LONDON BOY
Ndugu Freeman Aikael Mbowe nakusabahi.
Nakuandikia huu waraka huu ili ujue sisi wananchi huku kitaa tunataka nini. nifuatilie kwa makini.
1. Mosi umefanya blunders nyingi ila chama kilikulinda kwa mfano.
*Ulipomleta Lowasa CHADEMA wakati ukijua chama kilikuwa na msimamo thabiti dhidi yake...
Ukiangalia television na kusikiliza redio na hata kusoma magazeti utapata habari za miradi mikubwa mikubwa ikifunguliwa kila siku Zanzibar. Miradi hiyo ni kama vile barabara, shule za ghorofa, viwanjwa vy michezo, masoko ya ghorofa, majengo makubwa, viwanda, miradi ya nishati, flyovers, na...
Kwa waliosoma na kuelewa habari za Yesu watakubaliana nami yafuatayo:
Mosi, alikuwa maskini au lofa wa kawaida mwana wa seremala ambaye kama angerudi leo na kukuta wanaomhubiri na utajiri wao haramu, angezimia mbali na kuwakaripia hata kuwachapa.
Pili, hakuwahi kuwa na wala kuingia kanisani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.