washindi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    UDSM toeni majina ya washindi wa Merit scholarship 2022/2023

    Kama ilivyo kawaida kwa vyuo vingi vya elimu ya juu kutoa ufadhili kwa wahitimu wa ngazi mbalimbali za elimu, chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) kina utaratibu wa kutoa ufadhili kwa wanafunzi wa ngazi ya shahada za awali na shahada za uzamili. Katika mwaka wa masomo 2022/2023, dirisha la...
  2. I am Groot

    GUINNESS WORLD RECORD: Je, washindi wanaovunja rekodi duniani hufaidika vipi na rekodi zao?

    Kuwa mshindi wa Guinness World Record hakuna faida zozote za kifedha kama zawadi pale unapofikia record fulani katika nyanja mbalimbali. Hata hivyo unapatiwa hati maalumu ya utambuzi ambayo inakubalika na kutambulika kimataifa; hivyo mshindi kwa kupitia hati hiyo anakuwa amefanikiwa kujulikana...
  3. GENTAMYCINE

    Breaking News: Makamu wa Rais wa Marekani aomba kukutana na Washindi wa Majukwaa JamiiForums

    Mwenye Suti Kali naomba aniazime.
  4. GENTAMYCINE

    Rais Kuwaalika Ikulu Washindi wa Majukwaa JamiiForums kwa mwaka 2022

    Na nasikia anatamani mno na sana Kumjua GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ili amuulize anataka ampe Cheo gani ili amsaidie na alisaidie Taifa lake Tukuka. Haters msichoke Kunichukia JF Okay?
  5. BARD AI

    Full List: washindi wa Tuzo ya Oscars 2023

    Wafalme wa Hollywood walikusanyika ili kujua ni nani aliyeshinda Tuzo ya Oscars Usiku wa Jumapili. Hii hapa orodha ya washindi na wateule wote waliotangazwa katika Tuzo za 95 za Academy huko Los Angeles, Marekani. Picha Bora Everything Everywhere All at Once (MSHINDI) All Quiet on the Western...
  6. BARD AI

    GRAMMYs 2023: Chris Brown hajapenda kukosa tuzo, DJ Khaled na Burna Boy watoka mikono mitupu

    Chris Brown ameonesha hisia za kutopendezwa na kitendo cha kukosa tuzo ya Grammy kupitia albamu bora ya R&B, kwa kueleza kuwa hajawahi hata kumsikia mshindi aliyetajwa ambaye ni Robert Glasper. Breezy ameonesha wazi kuwa hajapokea ushindi wa Glasper kwa roho nyeupe ambapo amepost kupitia Insta...
Back
Top Bottom