waswahili

  1. R

    Kumbe hata wanawake wa Kizungu wanapenda sana kuhingwa? Nilijua ni waswahili tu.

    Nimeleta hii kama taarifa tu. Mimi nilikuwa naamini kwa kuwa wazungu wametutangulia kwa kila kitu hadi haki za uhuru na usawa baina ya jinsia moja na nyingine basi nilijuaga wao hawasumbui mambo ya vibomu. Ebwanaaee tena kuna wengine ni Vibom international Nimeona hii kwa mademu zake jamaa...
  2. A man with one idea

    Matabaka matano (5) ya Waswahili kiuchumi

    1. Mabwanyenye- Matajiri kupindukia, miungudunia 2. Walala heri- kipato cha kati 3. Walala hai- Wana Chakula cha kutosha tu 4. Walala hoi/Makabwela- Maskini, Mshahara kijungujiko, 5. Mafukara/Hohehahe/hawinde /fakiri - maskini kupindukia Tuendelee kukuza ulumbi
  3. Mohamed Said

    Waswahili katika kupinga ukoloni wa Wabelgiji Burundi

    WASWAHILI KATIKA KUPINGA UKOLONI BURUNDI Historia ya Sheikh Hassan bin Ameir na Waislam wa Burundi inashangaza. Hakuna Sheikh katika Afrika ya Mashariki aliyeweza kuingia Belgian Congo, Rwanda na Burundi kumpita Sheikh Hassan bin Ameir akieneza Uislam na wakati huo huo kwa ujanja mkubwa...
  4. RWANDES

    Taarifa za Ikulu kwa lugha ya Kiingereza za nini wakati sisi ni Waswahili asilia?

    Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu imeibuka na mfumo mpya wa kujulisha umma Serikali inayoyafanya kwa njia ya Kiingereza. Hii imeminya umma usiojua Kiingereza kutojua yanayoendelea nchini Tabia kama hii naona ni bora Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais. Zuhura Yunus atambue kuwa kwa sasa...
Back
Top Bottom