Naam bila shaka wote wazima.
Mimi sio mwanasiasa hivyo sio mtaalamu sana na siasa ,ila naelewa maisha yangu 100% yanaongozwa na siasa. Siasa ndo inapanga bei ya mkate,mafuta,vyakula nk ,siasa ndo inapanga muda wa kuamka, kulala,usalama wako afya nk hivyo kujiepusha na siasa ni kujidanganya.
Mh...