Habari zenu wajenzi wa taifa hili,natumai mko vizuri kabisa.
Back to the point, naombeni msaada juu ya hizo cement au powder za waterproof nahitaji kufahamu uwezo/ubora/na uimara wake pia nijue na kampuni nzuri inayotengeneza bidhaa hizo.
Je ni kweli zinazuia maji kupenya kwenye ukuta kama...
Moshi Urban Water Supply and Sanitation Authority (MUWSA) imejikita katika masuala ya huduma za maji na usafi, lakini kuna maswali mengi yanayojitokeza kuhusu uamuzi wao wa kuwafungia wateja wa mita za maji za awali (pre-paid meters).
Katika kipindi hiki, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa...
This position is located in Dar es Salaam, Tanzania.
Who is Water Mission?
Water Mission is a Christian engineering nonprofit that builds safe water solutions for people in developing countries, refugee camps, and disaster areas. Since 2001, Water Mission has served more than 8 million people...
Habari Wakuu,
Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji au vimiminika vingine.
Yapo 15, kila Tenk moja nauza 150,000/
Tafadhali zingatia: Bado...
Position: Senior Supply Chain Officer
A successful Senior Supply Chain Officer will:
Promote, encourage, and model Water Mission’s mission, vision, and values to the technical team members and all other staff members.
Team Leadership: Provide leadership, guidance, and mentorship to the...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.JA.9/259/01/A/517
VACANCY ANNOUNCEMENT
1.0 BACKGROUND INFORMATION
On behalf of Water Institute (WI) Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) invites dynamic and suitable qualified...
Habarini wana JF!
Katika makuzi kila mmoja wetu amekua akiambiwa waheshimu ndugu zako wa damu, maana damu ni nzito kuliko maji! na hakika huu msemo unamake some sense, mpk mtu utakapo kuwa na kuanza kujitambua.
Ukweli usemwe kuna misemo mingine mababu zetu walikunywa gongo mbaya kabisa...
habarini Wana jf,pole na majukumu ya hapa na pale.
Nimekuja kwenu nikiwa nahitaji msaada wa kifaa Cha NAZAVA WATER FILTER.
KWA HAPAHAPA TANZANIA NIWAPI NAWEZA KUKIKIPATA??.NA NAMBA ZAO...
Wahanga wa ajira za sekta ya maji (engineering na maabara) ni wengi..
Please drop your details na wale ambao wako na connections au fursa wataona na kutuunganisha InshaAllah..
Ahsante.
Wakuu naombeni kujua faida/umuhimu wa water dispenser
Nimekuwa nikiziona Tu.
Mtu friji analo na jug la umeme analo Ila bado anataka na water dispenser.
Nini umuhimu wa water dispenser?
Watu wengi tunaogopa kuanzisha biashara fulani kwa kuogopa kwamba ma giant wameshajaa hivyo hatutapata wateja.
Soko la maji ya kunywa lilikuwa limetawaliwa na kilimanjaro, kila sherehe ya harusi utakayoenda maji unakuta Kilimanjaro. Kila hotel kubwa ama bar kubwa maji unakuta kilimanjaro, leo...
Position: Community Development Officer
Location: Kasulu, Kigoma
What is the opportunity?
Under the direction of the Community Development Coordinator and Regional Manager, the Community Development Officer is responsible for community development and resolving issues in communities that...
Niliwahi ambiwa na wataalamu wa hospital DOCTORS AND NURSES..Kuwa ukipima HIV/AIDS
kwa kutumia kipimo cha Bioline ukikosa maji yake..unaweza kutumia hata water for injection na majibu yakatoka sahihi
Nakiri ni kweli baadhi ya sample niliwajaribu kuzipima kwa kutumia buffer pia sample izo izo...
Naomba kutoa malalamiko juu ya jambo hili kwani sisi watumiaji wa maji yanayosambazwa nanyi hatuna uhakika wa usalama kwa afya zetu kwani maji ni machafu sana. Ukichota bombani yanatoka na udongo
Position: Solar Water Pump Engineer with Water Filtration Experience
Location: Arusha, Tanzania
Position Type: Full-Time
Reports to: Managing Director
Responsibilities:
Solar water pumping system design: use third party software to design solar water pump systems using Lorentz COMPASS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.