Habari za leo wakuu,
Nimenunua pedrollo 0.5 hp
water pump kwa ajili ya
matumizi ya kujaza maji
kwenye matenki ya matumizi
madogomadogo hapa
nyumbani lakini kila nikiwasha
na nikifanya primming naona
bado haiwezi kupandisha maji,
Yeyote aliyewahi kukutana na
changamoto kama hii...
Wakuu, samaleko. 😎
Hizi "water marks/stains" kwenye vioo zinaathiri sana ung'aavu kamili wa kioo na kupunguza muonekano mzuri.
Ni jinsi gani ya kuziondoa? Ni ngumu mno kuzitoa, ni sugu!!!
-Kaveli-
It’s 2023 , we have not progress kabisa In infrastructures . Leo kutoka Dodoma Dar ni shida. No buses no nothing .
Yani natumia 12 hrs kwa bus . Kweli ? When. Will people work . Serikali hii vipi ? Wana fanya nini sasa? Au wengine Huko kuna kitu wanafanya?
Maji shida? umeme shida? Usafiri...
Position: Monitoring Evaluation and Learning (MEL) Officer
Duty Station: Dodoma, Tanzania
Department: PG Program Development
Minimum Experience: Experienced
The MEL Officer will be responsible for:
General Responsibilities
Maintaining a strong Christian witness and model servant leadership...
Habari ndugu zangu,
Wenye ujuzi hapo juu naombeni kufahamu niende kozi ipi kati ya hizo mbele hasa yenye ajira na ujira kwa nchi yetu hii.
Nitashukru kama nitapata ufafanuzi mzuri
Je, unatafuta muuzaji wa water pump Tanzania? National commercial Directory ndio mahali pa kwenda! Tuna orodha kamili ya wauzaji na wasambazaji wa water pump nchini Tanzania. Unaweza kuchuja matokeo yako kwa eneo, aina ya pump, na bei. Pia unaweza kusoma hakiki za wateja ili kupata muuzaji bora...
Fluoride katika maji kwa ajili ya kudhibiti akili
Unaweza kuwa na ufahamu wa fluoridation. Ni mchakato ambao serikali/viwanda vya maji uongeza fluoride kwenye maji kwa ajili ya usambazaji/uzalishaji wa maji ya kunywa, lengo kuu la kutumia fluoride likiwa ni kuimarisha mifupa na meno, hasa...
Water witching au kwa jina lingine inafahamika kama dowsing ni Njia maarufu na ya kale inayotumika kutambua uwepo wa maji chini ya ardhi ,Yani kama unataka kuchimba kisima Cha maji sasa ili kutambua ni sehemu gani Kuna mwamba wa maji unatumia Njia hii .
Njia hii inasemekani ni ya muda mrefu...
To: Ministry of Water & Environment
Re: Mugango-Kiabakari-Butiama Water Project
Please your intervention is needed! It is very UNLIKELY that WATER will start flowing on 30th June 2023.
You might be compelled to give another EXTENSION - a third one!
The images (ground reality) posted here are...
CHAPTER 1
South Tanganyika, Early 1899
An early morning, I think it was probably way too early than usual for me since the sun was barely out and shining through the thick tree that surrounded our village made up of probably fewer than fifteen households living in straw houses with...
Nahitaji water bowser iwe imetengenezwa China, Faw, Sacman, Howo etc.
Iwe na uwezo wa kubeba lita 20,000 na zaidi. Pia iwe kwenye hali nzuri.
Njoo na offer yako.
0767/0717-45 44 55
Peace be upon you all,
Najua hapa kuna waliozitumia hizi motion sensors za tronic, nataka kujua kutokana na uzoefu wenu je ni water proof ?
Maana nataka kuzifunga kuzunguka uzio ila nahofia zitaharibika kwa mvua, kwa mliozitumia uzoefu wenu unalipi la kuzichambua.
(Wale wajuaji wa "nenda...
Wakati tunaendelea kupigana na vivuli vyetu na wengine kutafuta makosa ya marehemu na kusahau waliyohai, siyo vibaya tukiburudika na Bob Marley.
Oh, it's a disgrace
To see the human race
In a rat race, yeah
Rat race
Fundi wa kudhibiti leakages kwa Water proof tunadhibiti sehemu zote zinazo vuja iwe Silabu paa la la zege concrete roofing flat roofing fundi 0716354056
Tunachmba visima vya maji virefu kwa mikoa yote kwa elfu 60 mita morogoro
Tanga,bagamoyo mtwara lindi na pwani Dar 80 elfu
Iringa,dodoma,singida,tabora,mbeya manyara 90 elfu.
Shinyanga ,mwanza, mara Arusha na kilimanjaro laki 1. Na 30
In 1923, nine of the wealthiest people in the world met at Chicago's Edge Water Beach Hotel.
Their combined wealth, it is estimated, exceeded the wealth of the Government of the United States at that time.
These men certainly knew how to make a living and accumulate wealth.
Attending the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.