Dunia inakabiliwa na uhaba wa Watumishi wa Afya hususan Wauguzi, na hali hilo inaweza kuathiri jitihada za kufikia Lengo la Huduma ya Afya kwa wote ifikapo 2030
Wauguzi wana jukumu muhimu katika utoaji wa Huduma ya Afya, wanachangia katika Tafiti, kuzuia Magonjwa, kutibu Majeruhi, kusimamia...