wauzaji

  1. stabilityman

    Nahitaji wauzaji Terrazo floor materials

    Habari naomba nipate wauzaji wa material ya terrazzo floor
  2. Wauzaji wa Aluminium

    Mafundi pamoja na wauzaji wa Aluminium wa rejareja karibu ujipatie Aluminium pamoja na accesories kwa bei ya kiwandani.

    Karibu ofisini kwetu ujipatie Accessories na Aluminium Kwa bei ya kiwandani. Bei zetu ni rafiki sana , Kwa DSM ukinunua mzigo utapata free delivery na Kwa mikoani ukinunua mzigo tutaupeleka hadi kwa transporter wako. Kuhusu bei huwa zinapanda na kushuka hivyo ukitupigia tutakupa bei ambazo...
  3. Mike Moe

    Wauzaji Wavijora kwa bei ya jumla

    Habari za asubuhi wanajamii Kwa waleo wauzaji wa vijora kwa bei ya jumla naomba kujuzwa bei zikoje niko mkoa mnaweza tuma pia sample za picha kama mko nazo
  4. Mjina Mrefu

    Naomba Chimbo la wauzaji Movies zilizotafsiriwa Online

    Well, Habari wakuu, Nina kijiwe changu cha kuuza movies zilizotafsiriwa kiswahili na ma DJ wa bongo. Sasa na struggle sana kupata movies aisee. Kuna mwamba ananiuziaga ila ananiuzia ghali sana. Natamani nipate chimbo zuri iwe group au hata Dj mwenyewe directly awe ananiuzia jumla. Huwa...
  5. Mike Moe

    Wauzaji wa handbags na masimo kwa bei ya jumla naomba kujuzwa bei za handbags medium size

    Kwa wale ndugu zangu Wauzaji wa handbags na massimo(kama sijakosea kuiandika hiyo masimo) kwa bei ya jumla naomba kujuzwa bei za jumla handbags medium size pamoja na massimo Pia naomba kufahamu bei ya jumla kwa pochi kubwa za kike
  6. I

    Wauzaji na Wasambazaji Korosho tunapatikana Arusha

    You can grab it for your family and friends. Baked cashew 23,000@1 No cooking oil or salt. Fresh raw cashews 23000@1 Roasted cashew 25,000@1kg (Salt or any spicy like pepper) Whole almond 30000@1 Free Delivery Service (Arusha city centre only) HOTELS, LODGE AND RESTAURANTS/CAFE CAN RELY...
  7. Evans Richard Arsenal

    Wapi nitapata connection ya wauzaji wa PIKIPIKI kwa bei ya kiwandani kwa wachina wenyewe kwa pikipiki za SINORAY, FEKON, KINGLION etc

    Husika na kichwa hapo juu, naomba kufahamu wapi nitapata connection kutoka kwa wachina viwandani au kuagizia china nipate kununua pikipiki kwao moja kwa moja bila kwenda madukani kwa bei ya rejareja au kwemda kwa mawakala wa mikoani au wilayani. Nataka kufungua duka kwa ajili ya kuuza pikipiki...
  8. benitus bonifas

    wauzaji wa mitumba naombeni ushauri

    kwa wauza mitumba popote mlipo naomba elimu nianze na nguo gani zinazo toka haraka na zabei ya chini naomben ushauri
  9. M

    Ni wapi wanauza Suti Dodoma?

    Nilikuwa naomba kujuwa sehemu gani kwa dodoma wanauza suit za special affordable price
  10. M

    Msaada wauzaji wa jumla wa alcobond Zina bend zinazokunjika

    Wakuu msaada wenu wapi ntapata au nimakampuni Gani wanaouza alcond original zina
  11. K

    Nina kilo 600 za maharagwe, nauza Tsh 1800 kwa kilo moja

    Kuna mzigo wangu wa maharagwe ninazo Kg 600 nauza kwa bei ya Tsh 1800. Usafiri Utalipia mzigo Upo Kasulu Kigoma. Ni maharagwe mazuri yaliyovunwa Mwaka huu.
  12. S

    Wauzaji wa Jumla wa vifaa vya simu

    Habari za asubuhi viongozi naomba muuzaji wa vifaa vya simu Kwa bei ya Jumla ,vitu kama Mic, LCD za simu ndogo hizo Techno na nyingine karibuni
  13. Yoyo Zhou

    Wauzaji wa bidhaa wa Rwanda kutafuta fursa kwenye maonyesho ya CIIE mjini Shanghai

    Kampuni kadhaa za Rwanda, zilishiriki kwenye maonyesho ya saba ya kimataifa ya uagizaji wa bidhaa za China (CIIE) yaliyofanyika mjini Shanghai. Maonyesho hayo ambayo yameandaliwa na Wizara ya Biashara ya China kwa kushirikiana na Shirika la Biashara Duniani (WTO), ni maonesho makubwa zaidi ya...
  14. Waufukweni

    Bei ya Mafuta yashuka mwezi Novemba, EWURA yatahadharisha wauzaji

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta ya petroli na dizeli nchini kwa mwezi Novemba 2024, ikilinganishwa na bei za mwezi Oktoba. Kwa mujibu wa EWURA, bei ya petroli kwa lita moja kwa bandari ya Dar es Salaam imepungua kutoka Shilingi 3,011...
  15. A

    Wauzaji Wa Tipper Truck Howo, Faw na Scania Mende wapo wapi?

    Habari wadau naomba zilipo yard za tipper truck howo,faw na scania mende au yard au ofisi zao kwa dar Thanks
  16. S

    Wauzaji wa vifaa vya magari used kutoka Dubai

    Husika na mada tajwa hapo juu , naomba muuzaji wa spear za magari used au mpya kama ipo spear hii naomba uniambie bei yako hapa nahitaji rejeta full pamoja na caulling yake na reserve tank ya coolant ni shilingi ngapi ukiwa mpya au used ya Japan au Dubai ,gari aina ya Toyota Brevis 1JZ FSE
  17. ngara23

    Kariakoo inakuwaje duka Moja la simu Kuna wauzaji zaidi ya 20

    Dar inashangaza Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara. Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair...
  18. Mjina Mrefu

    Naomba Connection ya kupata Wauzaji wa vioo vya simu kwa jumla kwa bei nzuri

    Wakuu, Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone. Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu wanavyouza elf 30, madukani nao wananiuzia bei iyo iyo. Tupeane connection nitakapopata kwa bei nzuri...
  19. Doctor Mama Amon

    Dokezo la Kisera kwa Ajili ya Baraza la Mawaziri Kupinga Unyanyasaji wa Kisiasa Dhidi ya Wauzaji wa Huduma za Ngono Nchini

    RC Albert Chalamila akitangaza OPeresheni Dada Poa, MKoani Dar 1. Usuli Tarehe 31 Oktoba 2023 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, aliagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuanza msako wa makahaba, kufunga biashara za masaji zinazotumika kama madanguro, na kuvunja nyumba zinazotumiwa...
  20. Eli Cohen

    Mtaa upi K.koo nitapata wauzaji jumla wa ndala, yebo, flip flops na rainboots?

    Karibuni wakuu mnielekeze.
Back
Top Bottom