wauzaji

  1. Jorge WIP

    Wanawake wanaouza maduka ie...k/koo wanazidisha bei(over pricing) kwa wateja wanaume

    Habari zenu my virtual family(JF) Mara kadhaa huwa nikienda kununua vifaa vya electronics huwa nawakuta wauzaji wanawake...(probably nawafuataga sijui ila iko hivyo) ila sasa wana katabia ka kunitajia bei za ajabu ambazo ziko juu ya kawaida, Lakini... Nikienda duka lingine labda nkamkuta...
  2. PANTHERA LEO

    Msaada: Biashara ya sigara

    Habari wakuu, Naomba kuelekezwa sehemu wanazouza sigara kwa bei nafuu ya jumla ambayo na mimi nitakwenda kuuza jumla. Pia na bidhaa nyingne kama k vant, konyagi nk
  3. Kadu Bee Honey

    Kadu Bee Honey wauzaji wa asali bora na mbichi

    Kadu Bee Honey wauzaji wa asali bora na mbichi kutoka Singida, tupo Dar es salaam, delivery tunafanya popote ndani na nje ya nchi. Karibuni sana. +255657844098.
  4. JanguKamaJangu

    Kenya: Baada ya bei kushushwa, unga wa Ugali waadimika, Serikali yaonya wauzaji wanaouficha

    Siku 10 tangu Serikali ya Kenya kutangaza kushusha bei ya unga wa mahindi kuwa Ksh. 100 kutoka Ksh. 200 kwa kilogram 2, uhaba wa bidhaa hiyo umekuwa mkubwa katika maduka mengi. Wauzaji wengi hawana unga na wale wachache wenye unga huo ambao zaidi unatumika kupikia Ugali wanauza kwa zaidi ya...
  5. M

    Ndiyo maana Zelensky amelalamika sana!! Kumbe Makamanda wake walikuwa kwenye kikao na wauzaji wa vifaa vya kijeshi, makombora ya Urusi yakawaangamiza!

    Russia comments on deadly strike on Ukrainian city Moscow said it targeted a meeting of Kiev's military commanders with foreign arms suppliers in central Vinnitsa. Russia attacked the House of Military Officers in Vinnitsa with sea-launched Kalibr cruise missiles, the Defense Ministry said on...
  6. P

    Wauzaji wa Kemikali mbalimbali nchini Tanzania

    Habari Kwa mahitaji ya chemicals mbalimbali, kama vile, ▶️CAUSTIC SODA ▶️HYDROGEN PEROXIDE ▶️SULPHURIC ▶️ACTIVATED KABONI ya (india,Philipines na usa) ▶️SODIUM CYNIDE ▶️SULPHONIC ▶️CAUSTIC SODA ▶️NITRIC ACID ▶️FORMALINE ▶️SODA ASH ▶️CMC (sodium methyl cellulose) ▶️SODA ASH ▪️TITANIUM DIOXIDE...
  7. Sky Eclat

    Kwa ardhi tuliyonayo tunashindwa nini kuzalisha alizeti tukawa wauzaji wa mafuta kwa Afrika

    Sehemu nyingi za Tanzania alizeti inastawi vizuri sana. Kuanzia Singida na hata maeneo ya Handeni. Wakulima wadogo wanalima na wanavuna. Hawa think tanks wetu hawajaangalia uwezekano wa kufanya uwekezaji mkubwa wa zao hili kiasi cha kutoa ajira nyingi kwa vijana na pia kutiweka kuwa wauzaji...
  8. L

    Wauzaji wakubwa wachache

    OLIGOPOLY Kwanza neno oligopoly limetoka kwenye maneno mawili ya ki latin maana yake ni wauzaji wachache. Sifa za Oligopoly: 1.Ugumu wa kuingia kwenye hili soko Kutokana na mtaji wake kuwa mkubwa, vibali kuwa vingi nk Mfano: Biashara ya usafiri wa ndege, mtaji wake ni mkubwa, vibali na...
  9. Chorter

    Wauzaji wa tangawizi

    Habari wanaJF, kutana na wasambazaji na wakulima wakubwa wa zao la TANGAWIZI kutoka rungwe- mbeya, tunajihusisha na kutoa huduma ya usambazaji wa TANGAWIZI kwa wafanya biashara kutoka seheme mbalimbali Tanzania bara, Tunatuma mzigo kiasi unachotaka kwa haraka na uhakika mkubwa, Pia tunatoa...
  10. Kwekitui

    Hivi ni kweli kuna upungufu wa vioo "Black Tinted Glass" hapa Dar es Salaam kwa wauzaji wakubwa?

    Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum, cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani. Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa? Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije...
  11. OKW BOBAN SUNZU

    Ushuhuda: Wauzaji wa Trekta Afrika Kusini

    Hodi huku Kumekuwa na nyuzi humu zikijadili uimara wa trekhlta zinazouzwa mitandaoni South Afrika. Uimara huo umekuwa ukitiliwa mashaka kulinganisha na bei ya trekta hizo. Ukiingia kwenye mitandao mingi utagundua bei ya trekta zilizotumika muda mfupi zikiuzwa mpaka milioni 15. Achana na stori...
  12. E

    Naomba msaada kufahamu bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla

    Naomba kufahamu bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla. Nitashukuru.
  13. V

    INAUZWA Wauzaji wa suti genuine kutoka Uturuki na Italy

    Karibuni smart collection ni wauzaji wa suti genuine kutoka Italy na Uturuki Suti zetu ni slim body Size 32mpka 40 unapata Kwa bei ya Tsh 250,000 Utapata koti kizibao na suruali Tuko kariakoo Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Whatapp 0657710078
  14. 6321

    Hili jambo limenitatiza na kufanya niwe na wasiwasi za vijana wa iPhone

    Nawasalimu kwa JMT Katika mizunguko ya duniani nikichomwa n jua maeneo ya magomeni mwembechai, nikiwa dukani alikuja rafiki yangu niliyesoma nae O'level akiwa na mwanamke wa umri kidogo kuliko yeye, niliwahudumia vitu vya jumla kama 100k+. Basi tukabadilisha mawasiliano, akaniambia yeye...
  15. Rashdind

    INAUZWA Wauzaji wa Nguo za Mitumba Aina Zote

    Tunauza nguo za mtumba quality za jinsia zote. Tupo kituo cha polisi sekei Arusha, mikoani pia tunatuma kwa uaminifu. Nguo zetu ni kwanzia 5,000 mpaka 50,000. Nguo ni nzuri sana, wasiliana kupitia 0763148588.
  16. AA TANCH TRADING COMPANY

    Mtandao pekee wenye huduma nzuri zaidi za malipo kwa wafanyabiashara na wauzaji Tanzania.

    Sokokuu online ni mtandao unaouza vitu online kwa mfumo mpya na wa tofauti kabisa. Na mfumo huo upo ivo ili kumrahisishia mteja namna ya kununua vitu mtandaoni. Kwanza Sokokuu online inakupa uhuru. Wa kuweka bidhaa zako mwenyewe na kupanga bei ndani ya Dashboard yetu. Hii inakuhakikishia kuwa...
  17. Four

    Wauzaji na masonara

    Kama ilivyo maada wakuu wapi naweza kupata wauzaji wa (Amethyst stone) au sonara anayetengeneza pete za mawe tajwa hapo juu
  18. B

    Nafasi nne (4) za ajira kwa Wauzaji wa Bidhaa na Electronics/Computers

    Nafasi za kazi kwa watakaopenda kuwa wauzaji wa bidhaa za Computer/ Electronics. 1. Muajiri angependa wauzaji ambao ni wanawake. 2. Elimu kuanzia kidato cha nne. 3. Mahali ni Dar es Salaam. 4. Uzoefu kuanzia miezi 6. 5. Mshahara ni mzuri. 6. Awe anaweza kuongea Kingereza na Kiswahili. 7...
  19. Kasomi

    Wauzaji wakubwa wa Tanzanite duniani ni Kenya na Afrika Kusini

    JE WAJUA? Ingawa madini ya Tanzanite hupatikana Tanzania pekee dunia nzima lakini hadi kufikia 2015 wauzaji wakubwa wa Tanzanite duniani walikuwa ni nchi ya Kenya🇰🇪 ikifuatiwa na nchi ya Afrika Kusini🇿🇦. - Kufikia 2021 Tanzania🇹🇿 ni nchi inayoongoza duniani kwa uuzaji wa Tanzanite huku pato...
  20. Marcel_10

    Kwa wauzaji wa IST, Vitz, Noah

    Habari wakuu Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani.. Nina idea ya Biashara kidogo Idea yenyewe ni hivi Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2). Kwa miaka 2, kila siku...
Back
Top Bottom